Yanga SC na GSM na hawa Wakongo Watatu nao pia wanaomba Usajili Kwenu, ili Jangwani Music FC Band ikamilike

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
1. Diblo Dibala (Soloist)

2. Bileku Mpasi (Rapper)

3. Allain Kounkou (Dancer)

Naamini wakisajiliwa tu na hawa Watatu basi Waimbaji maarufu wa Bendi yenu ya Jangwani Music FC Band kama akina Makambo, Mayele, Moloko, Mukoko, Bangane na Djuma watauza mno Albums zenu ambazo mnatarajia kuzitoa.
 
1. Diblo Dibala (Soloist)

2. Bileku Mpasi (Rapper)

3. Allain Kounkou (Dancer)

Naamini wakisajiliwa tu na hawa Watatu basi Waimbaji maarufu wa Bendi yenu ya Jangwani Music FC Band kama akina Makambo, Mayele, Moloko, Mukoko, Bangane na Djuma watauza mno Albums zenu ambazo mnatarajia kuzitoa.
Sawa shabiki wa Muddy FC...
 
Back
Top Bottom