ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,295
- 31,697
Endelea kujifarjiRound ya kwanza kila msimu nyie huwa mabingwa, round ya pili ndio ya Simba SC, hapo najua mmeshaanza kutetemeka hizo pointi nane mna bahati imebaki game moja round iishe, kama vp tungezifuta pointi zote round hii ya kwanza.