Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
Mrisho Ngassa Ni mchezaji aliyeichezea klabu ya Yanga kwa mapenzi makubwa mno.
Ameitumikia Yanga kwa uaminifu mkubwa mno na kwa nguvu zake zote, akili zake zote na kwa moyo wake wote.
Mrisho Ngassa aliwahi kukataa ofa ya billion moja kwenda Sudan ili tu abaki na Yanga yake.
Kwa hayo machache aliyoifanyia Yanga, Ingependeza zaidi Yanga imuandalie Mrisho Ngassa mechi ya kumuaga kwa heshima, kisha abebwe kwenye kiti kifalme ili kuthamini mchango wake kwa Club.
Pia itakuwa ni heshima kubwa kwa club ya Yanga iwapo itaitenga namba ya jezi ya Mrisho Ngassa Kama kuienzi na kuheshimu mchango wa legendary huyo barobaro.
Ameitumikia Yanga kwa uaminifu mkubwa mno na kwa nguvu zake zote, akili zake zote na kwa moyo wake wote.
Mrisho Ngassa aliwahi kukataa ofa ya billion moja kwenda Sudan ili tu abaki na Yanga yake.
Kwa hayo machache aliyoifanyia Yanga, Ingependeza zaidi Yanga imuandalie Mrisho Ngassa mechi ya kumuaga kwa heshima, kisha abebwe kwenye kiti kifalme ili kuthamini mchango wake kwa Club.
Pia itakuwa ni heshima kubwa kwa club ya Yanga iwapo itaitenga namba ya jezi ya Mrisho Ngassa Kama kuienzi na kuheshimu mchango wa legendary huyo barobaro.