Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 1,000
- 1,989
Leo yanga kacheza mpira wa papatu. very bad football. Bila AUCHO kazi wanayo yanga.
Sure Boy bado sana kuwa sita bora. Leo ni neema tu imewabeba ila very low tempo football amna furaha yoyote.
yanga can do better. wanajua ball ni swala la morali kama imeshuka vile over achievement kama Bayern Munich back in the days.
Huu ndo ukweli. Acha kukaza kichwa.
Sure Boy bado sana kuwa sita bora. Leo ni neema tu imewabeba ila very low tempo football amna furaha yoyote.
yanga can do better. wanajua ball ni swala la morali kama imeshuka vile over achievement kama Bayern Munich back in the days.
Huu ndo ukweli. Acha kukaza kichwa.