Escort King
Member
- May 20, 2021
- 12
- 20
Inasikitisha kuona timu kubwa kama Yanga ambayo imeupachika uwanja wake jina la Kenneth Kaunda Stadium inashindwa kutoa hata taarifa ya kusikitishwa na msiba wa mwanamajumui huyu wa Afrika.
Ndio kusema Viongozi hawana taarifa ya msiba huu au hawajui vinasaba vya Kenneth Kaunda na Yanga?
====== U P D A T E S====
Tunawashukuru Viongozi wa Yanga KWA kuwa wasikivu na kulifanyia KAZI suala hili. Asanteni
Ndio kusema Viongozi hawana taarifa ya msiba huu au hawajui vinasaba vya Kenneth Kaunda na Yanga?
====== U P D A T E S====
Tunawashukuru Viongozi wa Yanga KWA kuwa wasikivu na kulifanyia KAZI suala hili. Asanteni