Kwa hali ilivyo Jana Yanga kushinda mechi Ngumu dhidi ya IHEFU ambapo haikuwa na nyota wao wengi hii imefuta ndoto za SImba kuwa bingwa Msimu huu. Yanga wana mechi Tatu za Ugenini Singida ambapo ni timu nyepesi sana kwa Yanga. Wana Mbeya CIty na Prison mechi hizi hawawezi kupoteza mechi zote.
Simba tulijichanganya mechi ya Azam kupoteza na mechi ya Kagera KMC(2-2) pia. Simba kwa sasa tuwekeze Nguvu mashindano ya CAF na mechi ya Simba Vs Yanga kulipa kisasi. Ligi tujiandae vizuri mwakani.
Simba kama OKRAH anaondoka aondoke tulete Fei Toto. Tujipange Next Season mwaka huu labda FA azam ndio kombe ambalo tukijipanga tunaweza kuchukua.
Pia tununue beki msimu ujao Onyango amechoka jamani!!
NAWASILISHA.
Simba tulijichanganya mechi ya Azam kupoteza na mechi ya Kagera KMC(2-2) pia. Simba kwa sasa tuwekeze Nguvu mashindano ya CAF na mechi ya Simba Vs Yanga kulipa kisasi. Ligi tujiandae vizuri mwakani.
Simba kama OKRAH anaondoka aondoke tulete Fei Toto. Tujipange Next Season mwaka huu labda FA azam ndio kombe ambalo tukijipanga tunaweza kuchukua.
Pia tununue beki msimu ujao Onyango amechoka jamani!!
NAWASILISHA.