1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 439
- 1,756
Yanga atakuwa bingwa kwa mara tatu mfululizo na Azam atashika nafasi ya 2, hii ina maanisha kuwa Simba atashika nafasi ya 3 na atashiriki kombe la Loser mwakani, Mark my words.
Wanaochezesha remote Simba ishinde mechi ipi, itoe sare mechi ipi na ipi ifungwe wako kazini bado.
Nimepoteza matumaini na timu hii, nisije kupata ugonjwa wa moyo bure.
Wanaochezesha remote Simba ishinde mechi ipi, itoe sare mechi ipi na ipi ifungwe wako kazini bado.
Nimepoteza matumaini na timu hii, nisije kupata ugonjwa wa moyo bure.