Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
- Thread starter
- #21
Kaka nitake RADHI na hilo litimu linalotaka libebwe na yule mtu wao pale nanihinoo.....Bill Shaka wewe ni mikia
Kaka nitake RADHI na hilo litimu linalotaka libebwe na yule mtu wao pale nanihinoo.....Bill Shaka wewe ni mikia
Kumbe kikosi hakikua imara?Kongole kwa wachezaji wetu.....
Mechi hii imetuonesha KUIMARIKA kwa kikosi chetu kila muda unavyozidi kwenda...
Mashabiki wa Simba na Yanga wana nongwa.Kongole kwa wachezaji wetu
Mechi hii imetuonesha KUIMARIKA kwa kikosi chetu kila muda unavyozidi kwenda...
Utopolo washamba sanaKwa hiyo Ruvu na Masao Bwire wamemnunua Metacha? kuweni na heshima kwa Metacha,kama ni rahisi kadake wewe. Mbona Namungo hawakumzomea kipa wake alipotunguliwa na BM3 umbali wa mita 50
Kwa hiyo unamtetea Karia??!!Kumbe kikosi hakikua imara?
Na bado lawama zikawa zinaelekezwa kw Karia?!
Daah utalaumiwa kwa hili lakini ndo hivyo na wendako YangaMetacha hastahili lawama yeyote ni timing tu pale ambapo goal kipa yeyote anaweza kufungwa aina ile ya goal.
Kwa hiyo unamtetea Karia??!!
Issue iko kwenye meza ya maamuzi na hasa ya kinidhamu ya klabu ya YANGA,...Je maamuzi yao yalipata nafasi ya kujadiliwa uongozi (wanaohusika ndani ya klabu) na kuona inafaa kuchukua hatua waliyochukua dhidi ya Metacha (sipingani na adhabu,concern yangu ni Muda toka tukio limetokea hadi maamuzi yanatolewa...walikaa saa ngapi? Au ni kauli ya mtu mmoja?) Na je tunafanya maamuzi kufurahisha na kuwaridhisha washabiki au ni msingi wa kikanuni za klabu?
Ndio kiwango cha yanga , sasa wameamua tu kumuacha kwenye usajili na si vinginevyo.Kongole kwa wachezaji wetu.....
Mechi hii imetuonesha KUIMARIKA kwa kikosi chetu kila muda unavyozidi kwenda...
Umeongea KIWELEDI sana......Issue iko kwenye meza ya maamuzi na hasa ya kinidhamu ya klabu ya YANGA,...Je maamuzi yao yalipata nafasi ya kujadiliwa uongozi (wanaohusika ndani ya klabu) na kuona inafaa kuchukua hatua waliyochukua dhidi ya Metacha (sipingani na adhabu,concern yangu ni Muda toka tukio limetokea hadi maamuzi yanatolewa...walikaa saa ngapi? Au ni kauli ya mtu mmoja?) Na je tunafanya maamuzi kufurahisha na kuwaridhisha washabiki au ni msingi wa kikanuni za klabu?