Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
Kongole kwa wachezaji wetu,
Mechi hii imetuonesha KUIMARIKA kwa kikosi chetu kila muda unavyozidi kwenda.
Baada ya mpira kuisha ,ilionekana baadhi yetu mashabiki wa kilabu chetu pendwa tukimzomea KIPA wetu Metacha B.Mnata kutokana na kukasirishwa na magoli aliyofungwa.
Je Metacha Mnata anastahili shutuma hizi apewazo?
Je Metacha yule aliyetubeba katika ushindi ule wa 3-3 kufikia sisi mashabiki kumtunza "MIHELA" pale uwanjani ,kweli anastahili kuzodolewa na KUSHAMBULIA KWA MANENO KIASI HIKI CHA LEO?
Metacha Mnata ni kijana mdogo ,kipa mzuri na hazina kwa taifa.
Hebu tulidadavue hili kiweledi.
#MbeleDaimaNyumaMwiko
#StaunchSupporterOfDarYoungAfricansSC
Mechi hii imetuonesha KUIMARIKA kwa kikosi chetu kila muda unavyozidi kwenda.
Baada ya mpira kuisha ,ilionekana baadhi yetu mashabiki wa kilabu chetu pendwa tukimzomea KIPA wetu Metacha B.Mnata kutokana na kukasirishwa na magoli aliyofungwa.
Je Metacha Mnata anastahili shutuma hizi apewazo?
Je Metacha yule aliyetubeba katika ushindi ule wa 3-3 kufikia sisi mashabiki kumtunza "MIHELA" pale uwanjani ,kweli anastahili kuzodolewa na KUSHAMBULIA KWA MANENO KIASI HIKI CHA LEO?
Metacha Mnata ni kijana mdogo ,kipa mzuri na hazina kwa taifa.
Hebu tulidadavue hili kiweledi.
#MbeleDaimaNyumaMwiko
#StaunchSupporterOfDarYoungAfricansSC