haa nakubali maana kuna tanzania nyingi hata ile ya akina ridhiwan,bashe na mafisadi vijana. Lakini tanzania tunayoijua mmh.we ni cdm pilipili yakuwashia nini?ccm ndio jicho la vijana wa tanzania
kama akina mwigulu, nape ndo zao hizo mkuu!
haaa kwenye kesi ile ya kutengenezwa na mafisa ili yaendelee kutuibia? Nawafahamu akina mwigulu kule igunga. Kama kuna mengine thibitisha mkuu!unajifanya kiziwi ee? yule babu aliefikishwa mahakamani unajifanya humjui ee?
out ya kujitoa au ya kasukumizwa`nje na wenye jumuia? hujaeleweka mkuu
ivi ile kesi ya kupora mke wa mtu na kutelekea familia inayomkabili dr slaa imefikia wapi?kama akina mwigulu, nape ndo zao hizo mkuu!
ivi ile kesi ya kupora mke wa mtu na kutelekea familia inayomkabili dr slaa imefikia wapi?
Naona umeng'ang'ana sana na suala la kuporwa mke. Inaonekana na wewe mhanga. Pole sana.
Naona umeng'ang'ana sana na suala la kuporwa mke. Inaonekana na wewe mhanga. Pole sana.
haya tuache hilo,na hili la kuendesha danguro pale bilicanas limekaaje?
ivi ile kesi ya kupora mke wa mtu na kutelekea familia inayomkabili dr slaa imefikia wapi?
Mboni Mhita makamu Mwenyekiti UVCCM Lowassa oyee! Congrats kwa maafisa mipango Bashe, Sioi, Beno, Peter Serukamba Makonda chaliiii na kambi yake ya Sitta, kinyago CHA Rizone Happi chali... Azimio la Pwani kwishney Sasa Rais anatoka Kaskazini chezeya Laigwanani weye! Bado uenyekiti wa CHAMA Sasa watch ur back......... Uuuuuwiiiiiiii!
Kwanza sidhani kama wewe ni kijana, kwanza hakuna kijana mwenye akili timamu ambaye hana maslahi yoyote na Mafisadi anayeisapoti CCM. Inaonekana akili yako haina tifauti na sura ya shigellah
Kwanza sidhani kama wewe ni kijana, kwanza hakuna kijana mwenye akili timamu ambaye hana maslahi yoyote na Mafisadi anayeisapoti CCM. Inaonekana akili yako haina tifauti na sura ya shigellah
ngoja tusubiri .... nasikia yule mchawi prof. Majimarefu ndiyo atapitishwa kuwa mgombea urais kwa ticket ya ccm ..... pamoja na manyaunyau sijui hii nchi itakuwaje ...