mkuu, haa vijana waliopo ccm ni kwa ajili ya kula mkuu, lakini mioyo yao ipo vyama vingine!huo mkutano pekee una wajumbe wapatao 1300.achilia mbali wale waliopo ngazi za chini ambao wanaishia kwenye matawi kata na mashina.wewe peke ako ndio uko huko lakini vijana wenye akili timamu wapo ccm
KAMA MALENGO YA CCM NI KUSHINDA hiyo sera yao . sisi watanzania tupambanue nini wajibu . je ni kushinda chaguzi baada ya kushinda nini kinafuata. tuachane na vyama vya kushinda uchaguzi tuingie kwenye vyama vinavyoleta ukombozi wa kweli wa matatizo ya wananchi wetu. KIKWETE ALITUDANGANYA 2005 MAISHA BORA KWA KILA MTANZANI KUMBE ALITAKA ASHINDE ILI AWE NA MAISHA BORA KWA UKOO WA KIKWETE. NA HII INAJIDHIHIRISHA JINSI FAMILIA YAKE NA NDUGUZE WALIVYOSHINDA HUKO BAGAMOYO. HII AKILI NA MAWAZO ANAVITOA SAYARI GANI HUYU MNAZI WA BAGAMOYO?Kushinda tu?.....Kushinda kivipi?......Na vipi kuwahudumia wananchi? Ndio maana alitoaahadi 100 za uwongo
kumbe tanzania bado vijana vichaa wanafika hata1300
Wezi wa mali ya umma. Kijana mwadirifu hawezi kubaki ChiChiMizi.
out ya kujitoa au ya kasukumizwa`nje na wenye jumuia? hujaeleweka mkuujitahidi ueleweke basi OUT ya kujitoa au OUT ya kusukumizwa nje na wenye jumuia yao
Vijana ndani ya ccm ni kupoteza muda juu ya ukombozi wa taifa letu, uvccm ni chombo cha watoto wa wakubwa, na watoto wa maskini wachache waliopewa matumaini ya uwongo ya kupewa vyeo basi!
wezi wa wake za watu.mtanzania mwadilifu hawezi kwenda chadema
Ally Salum Happi nje Sasa ni Mboni Mhita na Paul Makonda Sasa hii ni vita ya Lowassa na Kambi ya Sitta Riz1 na kinyago chake Happi tupa kule nahisi watajoin forces dhidi ya Mhita ambaye ni Lowassa so far Bashe, Beno, na Sioi wamecheza karata zao vizuri..... Maskini Happi na boss wake huruma!
Sawa na kusema ''mwali kunywa bia zake na gesti usiende''....ushauri gani huu
kama akina mwigulu, nape ndo zao hizo mkuu!wezi wa wake za watu.mtanzania mwadilifu hawezi kwenda chadema