Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,068
Labda kama wako timamu matumboni siyo kichwani!
Una hitaji uwe na akili za mnyama ili uwe kijana wa ccm
Una hitaji uwe na akili za mnyama ili uwe kijana wa ccm
huo mkutano pekee una wajumbe wapatao 1300.achilia mbali wale waliopo ngazi za chini ambao wanaishia kwenye matawi kata na mashina.wewe peke ako ndio uko huko lakini vijana wenye akili timamu wapo ccm