Yanayojiri: Mkutano wa Lowassa - Igunga

Yanayojiri: Mkutano wa Lowassa - Igunga

Ccm mwaka huu wataifilisi hazina kwa kuhonga akina Slaa na genge lake, tv karibu zote isipokuwa itv na azam tv naona hizo nyingine zinakazana kupinga mabadiliko. Lakini nawakumbusha kuwa, ktk vita Siku zote Mungu yupo upande wa haki. Tumechoka kuibiwa, tumechoka kuwa watumwa ktk ardhi yetu yenye kila aina ya utajiri. Bye bye ccm
Pokea LIKE ✌🏿️
 
mimi sijui ila mke wa mgombea wa upande mwingine sijawahi mwona,hata siku ile jangwani alisahau kumtambulisha

Inatubidi tuanze kuwekea question mark?????????????
 
Ajuaye Bwana Mungu kwa mzima kuwa mfu mgonjwa kuwa salama! What shall separate us from the love of God? is it SICKNESS? NO!CCM is our common ENEMY.

Haswaaaaaaaa😁😀😀😀
 
Rais ajaye wa tz ni Makufuli huyo wa mbwembwe ni laisi wa monduli yani magogoni atapasikia tu mpaka atakufa bika kufikamo ccm oyeeeeee

Mkuu kwa jinsi ulivyoandika unatakiwa umpe kura yako lowassa ili ufaidi kusoma bila kulipa ada,
Maana kama unalipa ada na unaandika hivi :-( dah! Kweli ccm inashabikiwa na wendawazimu
 
mabadiliko yanaongozwa na wannchi wenyewe sio viongozi ,ukitaka kuyazuia rudi kwa wanachi wenyewe viongozi hawatoweza
Umenena mkuu. Sisi jimbo la ubungo kampeni za masaburi hatuendi. Kampeni alikuwa na watu hamsini hawafiki. Tumemwambia Kubenea asitumie nguvu nyingi kampeni. Tunamfanyia sisi kampeni Nyumba kwa Nyumba. Tumeruhusu wananchi wapokee Hela ya fisadi masaburi kwa kuwa anarejesha alizoibia watanzania. Kichinjio October kinamsuburi Masaburi. Lowasa na Kubenea watosha.
 
Mkuu kibogo sasa Lowasa amepaa na upo huru warushie wadau mapicha ya garika.lile garika ni hatari uwanja umejaa na barabara zimefunga,watu hawakujali vumbi la chopa,maduka yamefunga kwenda kumsikia patient politician never hapen before...Lowasa anatisha wakuu tuache masihara.naambiwa anaenda nzega
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom