geraldkowero1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 1,838
- 647
Mkuu zitakuwepo za kutosha maandalizi yamekamilika ifikapo SAA 7 mambo yataanza.
Nina wasiwasi wewe hupo eneo la mkutano. Hata kama utakuwa Igunga pengine ni mipakani unasubiri tu picha za watakaorusha wenzio na wewe udakie hapo. Kama kweli upo uwanja utakapofanyika mkutano umeshindwa hata kutuonyesha jukwaa lilivyo? Fanya hivyo kabla hujaumbuka zaidi.