Makamba anasema Tenda zote za halmashauri ya Monduli Lowasa kampa Dadaake, hebu UKAWA jibuni hoja
Makamba anasema Tenda zote za halmashauri ya Monduli Lowasa kampa Dadaake, hebu UKAWA jibuni hoja
Angetuambia pia kuwa halmashauri ya Monduli inaongozwa na chama gani?
mwambie huyo makamba akasome sheria za manunuzi zinasemaje kuhusu mchakato wa zabuni kuna procuring entity,Pmu,tender board n.k sasa lowasa anakosa gani wakati tenda hatoi yeye?
Makamba anasema Tenda zote za halmashauri ya Monduli Lowasa kampa Dadaake, hebu UKAWA jibuni hoja
Aaaaah Monduli tenda huwa zinatolewa na Lowassa? Hiyo Halmashauri vipi?Makamba anasema Tenda zote za halmashauri ya Monduli Lowasa kampa Dadaake, hebu UKAWA jibuni hoja
Uzi wa ka-Magufuli unaozungumzia habari za Morogoro unawachunguliaji wachache kweli ukilinganisha na uzi wa Mh. Rais Lowassa. Kwa Magufuli kule Morogoro ni kama inavyoonekana hapa chini.
- Replies: 117
- Views: 1,757
Wakati kule kwa Lowassa kule Igunga wachunguliaji walikuwa zaidi ya 11,600. Hii inaleta taswira gani kwa hawa jamaa wa Magamba?
When God says yes no body can say no. Chaguo la wengi ndio chaguo la mungu, kwa maana hyo Lowasa chaguo la mungu. Wale wadudu wa kijana n chaguo la mashetani n ndio maana mambo Yao yanaendesha kigizagiza.
Lowasa hatariiiiiii
Kamsababisha Mihogo akimbie Azam TV
Rais ajaye wa tz ni Makufuli huyo wa mbwembwe ni laisi wa monduli yani magogoni atapasikia tu mpaka atakufa bika kufikamo ccm oyeeeeee
Mwaka huuu mwisho wao majizi!!!! Lowasa kwanza pombe baadae
Inatubidi tuanze kuwekea question mark?????????????
Makamba anasema Tenda zote za halmashauri ya Monduli Lowasa kampa Dadaake, hebu UKAWA jibuni hoja