chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,300
- 45,092
Sasa kama umeshuhudia Hayo yote Mbona haupandishi picture tunataka kumuona RAIS wetu aise.Mkuu kibogo sasa Lowasa amepaa na upo huru warushie wadau mapicha ya garika.lile garika ni hatari uwanja umejaa na barabara zimefunga,watu hawakujali vumbi la chopa,maduka yamefunga kwenda kumsikia patient politician never hapen before...Lowasa anatisha wakuu tuache masihara.naambiwa anaenda nzega
Last edited by a moderator: