Yanayojiri: Mkutano wa Lowassa - Igunga

Yanayojiri: Mkutano wa Lowassa - Igunga

Mkuu kibogo sasa Lowasa amepaa na upo huru warushie wadau mapicha ya garika.lile garika ni hatari uwanja umejaa na barabara zimefunga,watu hawakujali vumbi la chopa,maduka yamefunga kwenda kumsikia patient politician never hapen before...Lowasa anatisha wakuu tuache masihara.naambiwa anaenda nzega
Sasa kama umeshuhudia Hayo yote Mbona haupandishi picture tunataka kumuona RAIS wetu aise.
 
Last edited by a moderator:
Vipi MAKAMANDA hapo Igunga, Lowassa ameshawasili?
amewasili na kapaa tiyari kaacha gumzo nzito huko.watu wameamua apewe urais awatumikie,hawana sababu ya kumnyima kura.mkuu akituliwa atawapa picha.ila ilikuwa mafuriko ya hatari kuwahi kutokea pale.bro wangu CCM akanambia yeye alienda kuchunguza kama kuna malor yalikodiwa kusomba.ameambulia noah 2 zikiwa na team ya mgombea udiwani toka vijijini
 
amewasili na kapaa tiyari kaacha gumzo nzito huko.watu wameamua apewe urais awatumikie,hawana sababu ya kumnyima kura.mkuu akituliwa atawapa picha.ila ilikuwa mafuriko ya hatari kuwahi kutokea pale.bro wangu CCM akanambia yeye alienda kuchunguza kama kuna malor yalikodiwa kusomba.ameambulia noah 2 zikiwa na team ya mgombea udiwani toka vijijini
Dah! Basi Tanzania imeamua na hakuna wa kupinga huu ni mpango kamili wa Mwenyenzi MUNGU.
 
"hapa wapite tu! Hili ni jimbo la Dr. Kafumu " wamesikika kwa sauti za juu wapiga kura wengi mitaa ya Igunga.
 
"hapa wapite tu! Hili ni jimbo la Dr. Kafumu " wamesikika kwa sauti za juu wapiga kura wengi mitaa ya Igunga.
haah haah apia!!uzuri watu wa Igunga walishatoa onyo mapema.una kumbukumbu za uchaguzi serikali za mitaa?
 
Ccm mwaka huu wataifilisi hazina kwa kuhonga akina Slaa na genge lake, tv karibu zote isipokuwa itv na azam tv naona hizo nyingine zinakazana kupinga mabadiliko. Lakini nawakumbusha kuwa, ktk vita Siku zote Mungu yupo upande wa haki. Tumechoka kuibiwa, tumechoka kuwa watumwa ktk ardhi yetu yenye kila aina ya utajiri. Bye bye ccm

Mungu yupo katika upande wa haki lakini Mungu hafungamani na wezi na mafisadi na wala rushwa kama Lowassa. Lowassa ni mwizi na Mungu hayupo upande wa Mwizi.
 
Mungu yupo katika upande wa haki lakini Mungu hafungamani na wezi na mafisadi na wala rushwa kama Lowassa. Lowassa ni mwizi na Mungu hayupo upande wa Mwizi.



Mwizi toka lini? Du mkutano mzima wanashambulia ukawa du ccm imebaa
mzee makamba anamshambulia lowasa
 
Hiyo ndiyo nyomi, sio unarudia picha moja x2 halafu unasema nyomi..!!
 
Makamba anasema Tenda zote za halmashauri ya Monduli Lowasa kampa Dadaake, hebu UKAWA jibuni hoja
 
Mungu yupo katika upande wa haki lakini Mungu hafungamani na wezi na mafisadi na wala rushwa kama Lowassa. Lowassa ni mwizi na Mungu hayupo upande wa Mwizi.

Hivi unajua Mungu siku zote anatumia kitu dhaifu kabisa kukomboa watu wake?Muulize Padri wetu Slaa akuelezee historia ya mtu aliyeandika vitabu vingi katika agano jipya..ambae ni Sauli.. huyu alichinja watumishi wa Mungu lakini Yesu mwenyewe alimtokea from there akaitwa Paulo na tunaona kaandika na kurudisha watu wengi kwa Mungu

HIVI UNAJUA DAUDI ALIMTAMANI MKE WA JEMEDARI WAKE IKABIDI APANGE MPANGO WA KUMUUA NA AKAMUOA YULE MWANAMAMA.. ALITUBU Mungu akamsamehe na kupitia yule mwanadada alizaliwa Suleiman ambae tuliambiwa Mungu alimjazi na kumpa helima tele..

Hivi unajua Musa alimuua Mmisri ndo akakimbia toka kwa mfalme wa Misri na huko ndo Mungu alimtokea awakomboe wana wa israeli..
Hivi unajua zakayo alikuwa mtoza ushuru na aliwanyanganya watu mali zao lakini Yesu alivyopita alimwambia Zakayo leo ntakula kwako...

Kama wewe sio Mkristo naamin Dr slaa anaweza kukuambia kuwa Tunahesabiwa haki kwa Neema tu na wala sio kwa matendo yetu na kwamba tume aswa kuwa tusihukumu tusije tukahukumiwa..
ninapomuona lowasa naamini bwana ana haja nae kwa majaribu aliopitia naamini atatoka anang,aa kama dhahabu...

Anajua kutengwa..anajua kukataliwa na kukubaliwa..wale waliokuwa rafiki zake ndo wamekuwa wa kwanza kumng'ong'a na Bibilia inasema adui yako ni yule unaekula nae sahani moja..ndiye msaliti..
 
Back
Top Bottom