Yanayojiri: Mkutano wa Lowassa - Igunga

Yanayojiri: Mkutano wa Lowassa - Igunga

Lowassa is our common friend just as CCM is our common enemy! Mvua inyeshe jua liwake mabadiliko ni lazima.

Lowasa kata mbuga baba,ninakusapoti coz unamthamini mke wako,hivyo na wananchi utatuthamini
 
Rais ajaye wa tz ni Makufuli huyo wa mbwembwe ni laisi wa monduli yani magogoni atapasikia tu mpaka atakufa bika kufikamo ccm oyeeeeee
 
Hatuna mda wa kusikiliza mgonjwa na fisadi akaongoze mafisadi wenzake huko hatunq habari naye siye hapa kazi tu umbea peleka ukawa.

Ebu ipe neno lolote hii video hapa chini

 
Last edited by a moderator:
Ajuaye Bwana Mungu kwa mzima kuwa mfu mgonjwa kuwa salama! What shall separate us from the love of God? is it SICKNESS? NO!CCM is our common ENEMY.

Hatuna mda wa kusikiliza mgonjwa na fisadi akaongoze mafisadi wenzake huko hatunq habari naye siye hapa kazi tu umbea peleka ukawa.
 
Hatuna mda wa kusikiliza mgonjwa na fisadi akaongoze mafisadi wenzake huko hatunq habari naye siye hapa kazi tu umbea peleka ukawa.

Hivi unajua anacho umwa mmiliki wa kiti wa chama chako ukiacha ule ugonjwa wa kupimwa kwa dole la kati?
 
hivi ile semi ta TOT mwaka huu ipo kweli,maana ilikuaga inaamsha amsha balaa,naona lowasa katoka nao ubunifu sisiem
 
Back
Top Bottom