Yanayojiri: Mkutano wa Lowassa - Igunga

Yanayojiri: Mkutano wa Lowassa - Igunga

nimeangalia mkutano CCM mORO WANACHI WA LEO SI MCHEZO hawashangilii mambo kirahisi mpaka magufuli kasema najua CDM na CUF wako hapa naombeni kura zenu-hapo ni baada ya kuwatisha wananchi kwamba itakua kama Libya
 
mimi sijui ila mke wa mgombea wa upande mwingine sijawahi mwona,hata siku ile jangwani alisahau kumtambulisha
Amesusa hadi na yeye apewe nyumba kama mchepuko ulipewa nyumba kwa nini yeye ajitumikishe pasipo chochote kile
 
Akili yako fupi lipia star TV au channel ten mikutano yenu ionekane live acha kulalamaaaa.

yaani kwa CCM, hata tokea asubuhi hadi usiku tv zote tz, zionyeshe sera zenu bado watu hawakubali tu, mmewadanganya miaka mingi sana ahadi za mwaka 1995,bado na leo mnazirudia tu??! watu wengi wao hawana haja ya kuangalia tv, wanajua ni nani ataweza kuwatoa hapo walipo, wekeni wasanii kibao haitawasaidia sana. nadhani mnaona mikutano yenu mnavyojaza wasanii, na pamoja na kusomba watu kwa magari bado hamuwafikii ukawa, ambao wao wako kikazi zaidi.
 
Makamba anatapatapa. Kwani tenda za Uda dar es salaam si kapewa Lizboy. Wajibu now tuhuma hizo. Uwaziri unaota mbawaaaa mwaka huu. Eti kisaa watoto wa vigogo mnapewa uwaziri. Wangapi wana master wizara ya mawasiliano mpaka leo wanasota hapo, mpaka makamba aliyemaliza shule ya msingi miaka ya 2000 awe waziri. Mwaka huu wananchi wanawang'o wote.
 
Back
Top Bottom