nimeangalia mkutano CCM mORO WANACHI WA LEO SI MCHEZO hawashangilii mambo kirahisi mpaka magufuli kasema najua CDM na CUF wako hapa naombeni kura zenu-hapo ni baada ya kuwatisha wananchi kwamba itakua kama Libya
yaani kwa CCM, hata tokea asubuhi hadi usiku tv zote tz, zionyeshe sera zenu bado watu hawakubali tu, mmewadanganya miaka mingi sana ahadi za mwaka 1995,bado na leo mnazirudia tu??! watu wengi wao hawana haja ya kuangalia tv, wanajua ni nani ataweza kuwatoa hapo walipo, wekeni wasanii kibao haitawasaidia sana. nadhani mnaona mikutano yenu mnavyojaza wasanii, na pamoja na kusomba watu kwa magari bado hamuwafikii ukawa, ambao wao wako kikazi zaidi.
Makamba anatapatapa. Kwani tenda za Uda dar es salaam si kapewa Lizboy. Wajibu now tuhuma hizo. Uwaziri unaota mbawaaaa mwaka huu. Eti kisaa watoto wa vigogo mnapewa uwaziri. Wangapi wana master wizara ya mawasiliano mpaka leo wanasota hapo, mpaka makamba aliyemaliza shule ya msingi miaka ya 2000 awe waziri. Mwaka huu wananchi wanawang'o wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.