tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,813
- 15,077
Tatizo nyie mnaoreport hii kesi mnareport kishabiki sana.
Last Friday nilihudhuria,mengi yanayoandikwa humu yanaandikwa kishabiki tu.
Mimi sio mtaalamu wa sheria ila kwa hali niliyoiona na kusikia pale mahakaman siku zile,tuwaombee tu kwa Mungu hao washtakiwa,maana Mungu tu ndie anaweza kuwatetea.
Last Friday nilihudhuria,mengi yanayoandikwa humu yanaandikwa kishabiki tu.
Mimi sio mtaalamu wa sheria ila kwa hali niliyoiona na kusikia pale mahakaman siku zile,tuwaombee tu kwa Mungu hao washtakiwa,maana Mungu tu ndie anaweza kuwatetea.