johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Rais Magufuli anaapishwa leo katika sherehe itakayohudhuriwa na viongozi wa nchi zaidi ya 20 na mabalozi zaidi ya 80 kutoka sehemu mbalimbali duniani.
Updates:
Rais Magufuli ameshakula kiapo kiapo na na kuweka saini.
Makamu wa Rais mama Samia naye ameshakula kiapo na kusaini.
Sasa Rais Magufuli anakabidhiwa mkuki na ngao kwa ajilu ya ulinzi wa taifa analoliongoza.
Updates:
Rais Magufuli ameshakula kiapo kiapo na na kuweka saini.
Makamu wa Rais mama Samia naye ameshakula kiapo na kusaini.
Sasa Rais Magufuli anakabidhiwa mkuki na ngao kwa ajilu ya ulinzi wa taifa analoliongoza.