LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Muda huu uwanja wa Soweto watu no wengi wakisubiria wabunge wa CHADEMA kitoka Dodoma Mh Mbowe ameshafika,
Pia kutakuwa na kumuaga kijana ambae atasafirishwa kwenda kuzikwa Tabora.
Watu ni wengi sana
Ulinzi unasimamiwa jeshi la wananchi, watu hawataki kuwaona polisi wanaotumiwa na CCM.
Pia kutakuwa na kumuaga kijana ambae atasafirishwa kwenda kuzikwa Tabora.
Watu ni wengi sana
Ulinzi unasimamiwa jeshi la wananchi, watu hawataki kuwaona polisi wanaotumiwa na CCM.