Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
- Thread starter
- #41
ukiwapulizia itakuwa bomba sana.............. kuja huko kwako, tuma ungo basi nianze safari, wa kwangu umeharibika. Ila niko serious na mambo ya bustani, napenda sana mboga mboga ila sipendi zile za sokoni
Mie siku hizi nimestaafu kutumia ungo. siku hizi natumia fisi...ngoja nikutumie fisi aje kukuchukua...si bado unakumbuka jinsi ya kumuendesha...??? Ukifika ndio tutaeongea hayo mambo ya mboga mboga.