Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Young master. Nimependa hizo siraha. ni bei gani?
Sikuweza kujua bei ya sila zote ile short gun bei yake inaanzia 900,000/- hadi 1,000,000/-
hata mimi nnahitaji moja kuna mtu nnamuwinda humu jf
nani huyo tena Fatma Bawazir? Mbona unantisha mie?
si yule mchawi wetu anayesababisha mpaka tushidwe kuweka maujanja ya free net hapa jf ?
Ha ha haaaa!!! huyo dawa yale ndogo sana Fatma Bawazir wala haina haja ha kununua gun. Tunampiga brute force attack au DDoS. Kama hizo zote mbili zikifail basi tunammaliza kwa kumpiga ping of death. Unaonaje hiyo Idea mkuu?
nimependa makochi na bustani za mbonga
hapo umenena mana sikuhizi hakuna raha jf
wow! nimependa bustani za mboga na furniture. jana niliona maonesho ya kule Dodoma Nzuguni, aisee jeshi la magereza kupitia wafungwa wamefunika. Wana furniture nzurii sana
Na bei ni ya kufa mtu pia kitanda karibu millioni mbili
kiongozi, Young Master naskia simba wa 8-8 huwa hang'ati , kweli??
anao ila hana habari, anakuwa kama nyuki wa mashineni vile. au wanaume wanaokaa na wanawake muda wote halafu hawana japo mpenzi hata wa kuzugiaUmenifurahisha sana kwa hiyo hana mdomo wala meno.
kiongozi, young master naskia simba wa 8-8 huwa hang'ati , kweli??