wale wakufugwa, naskia unawekza ukazama mle ndani ya cage ukapiga nao picha kabisahuwa anang'ata mida ya saa nane tu.
wow! nimependa bustani za mboga na furniture. jana niliona maonesho ya kule Dodoma Nzuguni, aisee jeshi la magereza kupitia wafungwa wamefunika. Wana furniture nzurii sana
Simba bei gani?
hizo bustani natamani nizihamishie nyumbani kwangu, lol!
wale wakufugwa, naskia unawekza ukazama mle ndani ya cage ukapiga nao picha kabisa
Mnh! Nimeangalia picha zote lakin macho yameganda kwenye nyama choma!
poa poa poa..... sasa ombi moja, ile thread ya DaJane ya mume mtarajiwa mbona siwezi tena kui-access? sijui kimetokea nini siwezi kufollow hiyo link, imefutwa?Ha ha haaaa!!! Usiogope Fixed Point hakuna kinachoshindikana kwangu. Mimi ndio Zeddicus Zu'l Zorander The First Wizard and a Wizard of the First Order. Omba chochote utakacho nami nitakupatia.
kiongozi, Young Master naskia simba wa 8-8 huwa hang'ati , kweli??
Wewe mwezi mtukufu huu...Acha uroho...utaharibu swaumu...shauri yako.
Nilikodolea macho tu kwa uzuri wa picha sikuitamani hivyo swaumu yangu haijaharibika.
poa poa poa..... sasa ombi moja, ile thread ya DaJane ya mume mtarajiwa mbona siwezi tena kui-access? sijui kimetokea nini siwezi kufollow hiyo link, imefutwa?
Wala sio boflo...ni wewe mwenyewe ndio unayewindwa.
ukiwapulizia itakuwa bomba sana.............. kuja huko kwako, tuma ungo basi nianze safari, wa kwangu umeharibika. Ila niko serious na mambo ya bustani, napenda sana mboga mboga ila sipendi zile za sokoniMaybe imehamishwa...Embu njoo huku kwangu nikufanyie dawa ili tujue imeenda wapi. Au kama vipi waulize mods. Au unataka niwapulizie dawa wairudishe?
Mie huwa naamini sina maadui sasa niwindwe kwa nini jamani? Duh! Sasa itabidi nifikirie mpango wa kuingia jf kivingine ili nipishane na muwindaji bila kunitambua.