nkosikazi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2010
- 361
- 336
Anaongea urongoMadani ya makandarasi karibu ni sawa na bajeti nzima ya wizara yako----800+ Billions vs 900+ billions respectively. Kuwa mkweli utazilipaje katika hali ya kifedha ya taifa hili? Unadangnya mchana kweupeeeeeeeeeeeeeeee