Yanayojiri bungeni Dodoma leo tarehe 27 Mei, 2015

Wala sio tonnes of luggages kwenye trucks. Tatizo ni kuwa barabara zinajengwa chini ya kiwango (10%), mfano wa Barabara hizo ni boko magengeni- mbweni, Bagamoyo road. Tatizo letu tunaweka lami kama tunapaka rangi za mdomo.

daaah kaka umechekesha sanaa yaani maneno yooote yale unaishia kutoa mifano mitatu....ambayo ni chini ya asilimia 0.00 ya barabara zilizojengwa,,, which show magufuli kafanya kazi na hata wewe umethibitisha hapa
 
Ni kweli swala la uzembe wa uzito wa magari kutozingatiwa ni mkubwa sana tu. na siyo uzembe pekee katika utendaji wa serikali hii. Kuhusu barabara mbovu, nadhani tuanze na za hapa jijini tu. Kwa hapa barabara amabzo ni nzima ni zipi kama siyo ya Sam Nujoma, Morogoro rd na kidogo AH mwinyi? Angalia zingine za kwenda Bagamoyo zimeshachoka hata kabla ya kukabidhiwa. hizi za mitaani ndiyo zimebaki mashimo mpaka gari linazamisha tairi nzima!

No mpendwa, kwenye barabara bado sana.

hivi Tanzania ni dar es salaam pekee mbona tunakuwa wavivu kufikiri...haina maana natetea ila penye ukweli tuseme.....kwasasa unaweza toka mtwara hadi musoma au mwanza kwa lami kitu ambacho hakikuwa hivyo watu walikuwa wanalala njiani kutokana na ubovu wa barabara mwenye historia na safari za kwenda mtwara aseme hapa hali ilikuwaje, safari za mwanza jeee...tuacheni propaganda zisizo na maana penye ukweli pamoja kama taifa tusimame tupongeze
 
hivi Tanzania ni dar es salaam pekee mbona tunakuwa wavivu kufikiri...haina maana natetea ila penye ukweli tuseme.....kwasasa unaweza toka mtwara hadi musoma au mwanza kwa lami kitu ambacho hakikuwa hivyo watu walikuwa wanalala njiani kutokana na ubovu wa barabara mwenye historia na safari za kwenda mtwara aseme hapa hali ilikuwaje, safari za mwanza jeee...tuacheni propaganda zisizo na maana penye ukweli pamoja kama taifa tusimame tupongeze

Nadhani kiswahili kilichosema tuanzie hapa mjini ndiyo kinakuchenga.
 
Magufuli alikuwa na mbwembwe sana,akimsifia JK kuliko wachabiki wa Messi na Ronaldo wanapowaelezea masuperstar wao.Magufuli ana tabia ya kupiga mikwara majukwaani kutishia wakandarasi hadi juzi kilipomshuka baada ya madeni ya serikali kwa wakandarasi kutajwa..Na hali za wakandarasi kuelezwa kuwa ni mbaya sana kiasi ch akuwafanya wengine kufa kwa mshtuko kujiua kwa madeni ya mikopo .Na wengine kusimamisha miradi.Na hali inaelekea miradi mingi aliyojichukulia sifa kuendelea simamishwa siku zinavyokwenda.Sijui Magufuli ataweka wapi sura km ccm itamsimamisha.Wakati wakandarasi watakuwa hadharani kumuuliza madeni,wengine watasimamsiha miradi...watz wamuulize magufuli km denini kubwa kihivyo na wameshindwa lipa wataanzishaje miradi mipya?
 
Magufuli hana tatizo. Tatizo ni serikali nzima. Magufuli ni mtendaji mzuri lakini toka imeingia awamu ya nne ameshindwa kuonyesha makali yake sababu maamuzi yanaingiliwa. Kumbuka ile ya malori ambayo waziri mkuu anakuja kutengua baadaye. Magufuli alionyesha uwezo mkubwa sana kipindi akiwa na Rais ambaye alikuwa serious. :becky:
 
mods wa hovyo sana.Thread ilikuwepo long time leo ndio una move na kuunganisha na thread ya jana?
 
Back
Top Bottom