Yanayojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi, January 29, 2015

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi, January 29, 2015

Yale ya IGP mstaaf Omar Mahita na majambia feki kuidhulmu, CuF leo yanarejewa tena.

Chikawe na Ugaid, nani magaidi? wananchi waliokusanyika ndio magaidi? CUF inahujumiwa kwa mara nyingine.
 
Mwanasheria Mkuu wa Serikali anatoa ufafanuzi wa kisheria juu ya ugumu wa kujadili hoja ya Mbatia
 
The minister is talking rubish

Naomba akimaliza kuelezea namna inavyoruhusiwa sisi kupigwa basi na amalizie namna na sisi tutakavyoruhusiwa kuwaikwiriri hao polisi maana tumeshachoka kuonewa
 
Bunge lililopo limekuwa likidharau sana mahakama kwa kuamua kujadili mambo yaliyoko mahakamani.Hizo ni dharau za wazi kwa mahakama.Ushauri wangu ni kuwa wengi wa wabunge wataenda kugombea uchaguzi mwaka huu 2015.Baada ya uchaguzi wabunge wengi ushindi wao hupingwa mahakamani n.k Ninaomba mahakama zijiandae mkao wa kulipa kisasi ili kila mbunge aliyeko sasa akifunguliwa kesi au kufungua kesi kulalamikia matokeo au pingamizi n.k mahakama zihakikishe huyo mbunge aliyefungua kesi au kufunguliwa anashindwa kwenye hiyo kesi.

Na mbunge yeyote akiwa na kesi mahakamani mahakama zihakikishe zinampa ile maximum sentence ya hukumu

Hii ndio njia sahihi ya kuwashikisha adabu hawa wabunge waliopo hili bunge lisilo jali mahakama.

Another Idiot Zombie fro ccm. NENDA SHULE Angalau upate hata Certificate,hata km ni ya cookery itakusaidia kukuza akili yako.Did you research on what you wrote?
 
Tayari mjadala umezuiliwa kwa kile kinachodaiwa kuwa kesi ya Lipumba ipo mahakamani. Vurugu zinaendelea bungeni.
 
Bunge lililopo limekuwa likidharau sana mahakama kwa kuamua kujadili mambo yaliyoko mahakamani.Hizo ni dharau za wazi kwa mahakama.Ushauri wangu ni kuwa wengi wa wabunge wataenda kugombea uchaguzi mwaka huu 2015.Baada ya uchaguzi wabunge wengi ushindi wao hupingwa mahakamani n.k Ninaomba mahakama zijiandae mkao wa kulipa kisasi ili kila mbunge aliyeko sasa akifunguliwa kesi au kufungua kesi kulalamikia matokeo au pingamizi n.k mahakama zihakikishe huyo mbunge aliyefungua kesi au kufunguliwa anashindwa kwenye hiyo kesi.

Na mbunge yeyote akiwa na kesi mahakamani mahakama zihakikishe zinampa ile maximum sentence ya hukumu

Hii ndio njia sahihi ya kuwashikisha adabu hawa wabunge waliopo hili bunge lisilo jali mahakama.

Mbona hueleweki
Unajua kinachojadiliwa lakini
 
Kwahoyo hotuba hiyo inajadiliwa au la! Maana umeishia njianimkuu funguka hadi mwisho.
 
LISU kifaa... Makinda ametoa dk 3 Lisu akapinga ikabidi makinda aamue ijadiliwe kwa dk 10 !!! ... I like Lisu with all my heart... the way Jamaa anvyofunguka inawafanya MAGAMBA matumbo yanatetemeka ile mbaya ...
 
Bungeni leo jamani mmh. Ni hatari. Mwaka huu kazi ipo. Sijasomea sheria lakini leo ndo nimegundua kuna loop holes za ukandamizaji wa demokrasia nchini.
 
Back
Top Bottom