Nyamburi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 306
- 36
Lakini si afadhali wamekwenda waambie CUF waende Arusha tuone.
Hachana na machizi wanaofikiria siasa ni kama ushabiki wa mpira wa miguu!usipoteze energe yako kwao
Lakini si afadhali wamekwenda waambie CUF waende Arusha tuone.
Siku nyingine ukipiga picha piga oblique photoe sio ground photoe maana hapo tumeshindwa kujua watu waliitikia vya kutosha kiasi gani? Hata Hivyo inaonekana kazi bado ni pevu huko.
Mkuu Mpemba Mbishi=Mji Mkongwe=Kadogoo= Malaria Sugu
Wanaopiga kelele watu wachache ka inchi kenyewe kako wapi? tukiwahesabu watu wote including watoto hawafiki hata laki.
naapa kwa jina la mungu, mimi nikiwa kama muislamu ambaye naamini mungu mmoja ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hakuna yeyote mfano wake, mimi sina uhusiano wowote na watajwa wa hapo juu na pia siwajui kabisaaaaaa! Kazi kwenu sasa.
10 waskilizaji, viongozi 15wakuu wanajf, nitawaweka picha zingine nyingi zaidi baadae. Hapa nilipo pamoja na net kuwa very slow, lakini pia wananiambia wanataka kufunga. Hakuna kuongeza muda zaidi. Nimefanikiwa kuweka hizi na kujibu hoja za watu kadhaa katika ile thread nyingine. Asanteni. Mpaka hapo baadae. Pia nitakuja kuwapatia caption ya picha hizo wakati huo wakuu.
Wakuu wanaJF, nitawaweka picha zingine nyingi zaidi baadae. Hapa nilipo pamoja na net kuwa very slow, lakini pia wananiambia wanataka kufunga. Hakuna kuongeza muda zaidi. Nimefanikiwa kuweka hizi na kujibu hoja za watu kadhaa katika ile thread nyingine. Asanteni. Mpaka hapo baadae. Pia nitakuja kuwapatia caption ya picha hizo wakati huo wakuu.
Wanaopiga kelele watu wachache ka inchi kenyewe kako wapi? tukiwahesabu watu wote including watoto hawafiki hata laki.
Akina mama wamejikomboa huko Visiwani, bila shaka FaizaFox alienda kuwazindua
Tunapozungumzia idadi ya watu waliojitokeza lazima pia tuangalie population ya eneo husika. ukifanya calculations unaweza kuta, asilimia ya wapiga kura waliojitokeza pale ni kubwa kuliko ile ya wale wa Arusha mjini. Sina hakika kama Uzini ina wapiga kura zaidi ya elfu kumi. pia kumbuka hawa hawakukodishwa kutoka majimbo mengine kama CCM Na CUF wafanyavyo kunogesha mikutano yao.
kwenda sio kitu cha msingi, cha msingi kama uwanja unakuwa na viongozi wengi kuliko wasilizaji unategemea nini?
hahahah!nasubiri majibu ya ff,ila amini nakuambia ff atakua mtoa mada kupitia cdm muda si mrefu!hii kasi ni ya ajabu mkuu