Yanayoendelea ndani ya uongozi wa CCM na serikali yanatafakarisha

Kinachofikirisha ni ukweli kwamba Kikwete akiwa Rais hakuingiliwa kwa namna yoyote ile na Hayati Mkapa, haonekani kuondoka kabisa kwenye duru za kisiasa akihitajika kwa uzoefu wa ushauri wake na wakati huo huo akiwa na hulka ya kupenda kuhusika kwenye mengi zaidi ya ustaafu wake.
Ambacho hukisemi hapa moja kwa moja, lakini kama kawaida yenu watu wa huku ni kwamba hutamki wazi kwamba Samia anayumbishwa tu kama bendera. Mara useme Kikwete hivi; na huku unazunguka na ya Nchimbi na Makonda; na bado husemi lolote juu ya 'mastermind' mkuu Kinana!

Samia hana uwezo wowote wa uongozi, ndiyo maana hata huwezi kuchambua anakosimamia katika jambo lolote katika maelezo yako marefu.
 
2025 Rais hatakuwa mama Wala hao wapigaji, ila atatokea mtu asiyemaarufu kabisa atachukua inchi
Ni lazima niwe na matumaini juu ya hili unaloliweka hapa, kama kweli Tanzania itanusurika kuwa jalala.

Samia kuendelea kuwa kiongozi wa nchi hii baada ya 2025, hiyo itakuwa ni laana juu ya nchi yetu.
 
Simuoni JK akiwa amepunguza mahaba yake kwa kina Makamba zaidi zaidi namuona akiwa huru ndani ya Chama.

Wastaafu waliomtangulia wameshaaga dunia hivyo yeye ndiye mkongwe wa CCM tofauti na siku za nyuma walipokuwepo kina RIP Mkapa, Mwinyi wakongwe waliomtangulia na kuwa na uwezo wa kumkosoa hadharani muda wowote.

Samia anapowavuta hao kina Sabaya, Biteko na Makonda anatengeneza kambi yake mwenyewe kwa ajili ya 2025, hivyo unapoona Nchimbi anamkosoa hadharani Makonda anakuwa akifikisha ujumbe kwa Samia kwamba mambo sio rahisi kihivyo kama anavyodhania.

Lakini Mungu anaipenda sana Tanzania, hii ni nchi iliyowekwa chini ya usimamizi wa nguvu za Mungu siku ya tarehe 8 Desemba 1961 kina Makamba na wengine wenye sifa za upigaji wasahau kabisa kuja kuwa warithi wa Samia atakapostaafu.
Sijasikia habari za Sabaya kusogezwa.
Kapewa wadhifa gani?
 
katibahaiwekichakula-jpeg.2965844
Hako ka catoon kako poa lakini hakaendani na uhalisia kwenye background yake.
Ushawahi wapi kuona ghorofa la nyasi Tz?
 
Simuoni JK akiwa amepunguza mahaba yake kwa kina Makamba zaidi zaidi namuona akiwa huru ndani ya Chama.

Wastaafu waliomtangulia wameshaaga dunia hivyo yeye ndiye mkongwe wa CCM tofauti na siku za nyuma walipokuwepo kina RIP Mkapa, Mwinyi wakongwe waliomtangulia na kuwa na uwezo wa kumkosoa hadharani muda wowote.

Samia anapowavuta hao kina Sabaya, Biteko na Makonda anatengeneza kambi yake mwenyewe kwa ajili ya 2025, hivyo unapoona Nchimbi anamkosoa hadharani Makonda anakuwa akifikisha ujumbe kwa Samia kwamba mambo sio rahisi kihivyo kama anavyodhania.

Lakini Mungu anaipenda sana Tanzania, hii ni nchi iliyowekwa chini ya usimamizi wa nguvu za Mungu siku ya tarehe 8 Desemba 1961 kina Makamba na wengine wenye sifa za upigaji wasahau kabisa kuja kuwa warithi wa Samia atakapostaafu.
Leo hii ukimuweka hapa Nchimbi na Makonda ktk sanduku la kura na uwaache wapige kampeni, Makonda atashinda mchana kweupe. Ninyi na akina Nchimbi msichokielewa ni kuwa Tanzania ya sasa siyo ile ya miaka ya tisoni! Na kumbuka, Dkt Magufuli alitembea kila sehemu ya hii nchi wakiwa na Dkt Samia.

Dkt Magufuli alikuwa sikio la kila mtanzania kila pahala alipotembelea na Dkt Samia alipendwa sana na watanzania baada ya msiba ila yeye ndiye aliyeharibu kwa kujionesha kiasi kwamba leo hii ukienda vijijini wanajua yeye ndiye aliyehusika na kifo na hilo mtu pekee aliyeanza kufuta hayo mawazo alikuwa Makonda.

Kibaya ya manchojidanganya nikudhani kura zinapigwa na watu wa mjini, hahaha hapana. Sisi wa mwenye mitandao siyo wapiga kura na mtu kama Mange na kundi lake siyo wapiga kura kabisa. Na ukitaka kujua Makonda anapendwa tizama alivyokuwa anajaza watu na wanamlilia.

Dkt Nchimbi na kundi lake ni kama sikio la kufa, maana wangeusoma mchezo walipaswa kuona namna nzuri ya kuendelea kumtumia Makonda CCM Kujisafisha na kuondokana na dhana potofu inayoendelea mtaani ya CCM kumuua Dkt Magufuli ili ufisadi uendelee.
 
Kuna siasa za majibizano zinaendelea ndani ya uongozi wa juu kabisa wa CCM na serikali kuu. Mheshimiwa Nchimbi haonekani kufurahishwa na hulka za kikazi za RC wa Arusha na hakai na kitu moyoni mwake, anaweka wazi kabisa k
Ustaarabu wa Nchimbi uko wapi, tatizo lako ni uchawa. Hivi. Unajua kwanini Nchimbi alitupiwa ubalozini,, badala ya kudili na mtu angedili na matatizo yaliyopo.

Sasa hivi yupo busy kupanga Safi na kufikiriabinu chafu za ushindi. Nchimbi historia yake ya siasa imejaa makandokando mengi hivyo Hana usafi wowote wa kuanza ksifia.
 
Kwani Rais angewaweka pembeni hao Vijana wa Mwendazake Kuna shida gani?

Kiufupi Kuna Kambi 2 hapa ya Walinda Ligacy(Sukima Gang) na wale wanaotaka Kufuata baada ya Samia (Msoga Gang).

Kwa Samia hana Kambi labda watu binafsi wanaomkubali kama kina Jokate and the likes.

So Kwa Mama nadhani Yuko sawa Wacha waparuane madam hakuna Kambi inatoshia nafasi yake 2025.

Walijaribh ila Wameshindwa so wanajipanga Kwa 2030.
Ligacy ndo nini? Sheikh hampendi shule kabisa ninyi. Why?
 
Makonda ni WA kutumika ni chawa kama chawa wengine,anaweza ahidiwa Uongozi ila baada ya 2025 habari yake inaweza Isiwe na umuhimu japo itategemeana na Nguvu za Kambi na upepe wa Kisiasa.

Mwisho Huwa sipendi kujadili mambo ya Kisiasa ila masuala ya Uchumi so endeleeni na mijadala yenu.
Makonda kuwa waziri mkuu 2025
 
Mtakuja kutuambia. Hii Secretariat ya Nchimbi ni mbovu kuwahi kutokea. Ni zaidi ya ile ya Wilson Mkama. Picha linaanza wanafanya kazi na kutoa hotuba kama vile ni watumishi wa umma(civil servants). Wamegeuka wasemaji wa maafisa masuhuli na Mawaziri katika maeneo tofauti tofauti. Nadhani hili limechangiwa pia name ukweli kwamba wengi wao wamezoea kuwa watendaji katika maeneo kadha waliopita.
Makonda ndiye anajua na alijua kutafsiri maana halisi ya chama cha siasa, chama tawala na maana ya chama kuunda serikali.

Chama tawala hakipaswi kujiunga katika mlolongo wa Government Bureaucratic system but it should commands the system. Nchimbi and Co. ndio kwanza wameanza ziara ya kwanza lkn kwa jicho la tatu, wanafanya kazi kama bureaucrats wa serikali.

Wanashindwa kutafsiri majukumu yao kwa niaba ya chama. Wanashindwa kutafsiri supremacy ya chama over the govt system. Wanashindwa kukaa upande wa Wananchi ama kuvaa viatu vya wananchi. Wasipobadilika, itakuja kuwa Secretariat Mbovu kuwahi kutokea ndani ya chama cha mapinduzi.
aise!
nimebaki kushangaa tu. ili huenda wao wanajua zaidi kuliko sisi.
 
Simuoni JK akiwa amepunguza mahaba yake kwa kina Makamba zaidi zaidi namuona akiwa huru ndani ya Chama.

Wastaafu waliomtangulia wameshaaga dunia hivyo yeye ndiye mkongwe wa CCM tofauti na siku za nyuma walipokuwepo kina RIP Mkapa, Mwinyi wakongwe waliomtangulia na kuwa na uwezo wa kumkosoa hadharani muda wowote.

Samia anapowavuta hao kina Sabaya, Biteko na Makonda anatengeneza kambi yake mwenyewe kwa ajili ya 2025, hivyo unapoona Nchimbi anamkosoa hadharani Makonda anakuwa akifikisha ujumbe kwa Samia kwamba mambo sio rahisi kihivyo kama anavyodhania.

Lakini Mungu anaipenda sana Tanzania, hii ni nchi iliyowekwa chini ya usimamizi wa nguvu za Mungu siku ya tarehe 8 Desemba 1961 kina Makamba na wengine wenye sifa za upigaji wasahau kabisa kuja kuwa warithi wa Samia atakapostaafu.
Mimi nimeona picha ya tofauti na hii yako...Usijeshangaa utakachokiona aise!

Sijui nikae upande upi lakini hao unaowasema hawawezi nimeona Kwa macho ya ndani wameshavuka mstari na tayari wameshaingia kwenye kumi na nane kosa lolote ni penalty inapigwa...Mungu wa Mbinguni Mimi Nasikiliza kwako na mapenzi yako ya timizwe, AMINA
 
Ustaarabu wa Nchimbi uko wapi, tatizo lako ni uchawa. Hivi. Unajua kwanini Nchimbi alitupiwa ubalozini,, badala ya kudili na mtu angedili na matatizo yaliyopo.

Sasa hivi yupo busy kupanga Safi na kufikiriabinu chafu za ushindi. Nchimbi historia yake ya siasa imejaa makandokando mengi hivyo Hana usafi wowote wa kuanza ksifia.
R I P Amina Chifupa na Ipyana
 
Kuna siasa za majibizano zinaendelea ndani ya uongozi wa juu kabisa wa CCM na serikali kuu. Mheshimiwa Nchimbi haonekani kufurahishwa na hulka za kikazi za RC wa Arusha na hakai na kitu moyoni mwake, anaweka wazi kabisa kutofurahishwa na kauli pamoja na tabia za Paul Makonda.
Kikwete ni moja ya watu waliompiganis samia akawa rais nafasi ambayo tayari ilikua imeshatekwa na wahuni
 
Back
Top Bottom