Yanayoendelea ndani ya uongozi wa CCM na serikali yanatafakarisha

Samia hahitaji Kambi 2025 Kwa sababu hakuna mgombea mwingine wa kushindana nae 2025 sana sana ni hizo Kambi kumsumbua Ili awaweke Serikalini watu wao Waendelee kujipanga.

Minyukano itakuwa mikubwa baada ya 2025 Kwa sababu Kila Kambi itajitutumua na ndio hapo vyombo Huwa vinaamua wa kumuweka na Rais anasimamia Hilo.
2025 Rais hatakuwa mama Wala hao wapigaji, ila atatokea mtu asiyemaarufu kabisa atachukua inchi
 
Kuna siasa za majibizano zinaendelea ndani ya uongozi wa juu kabisa wa CCM na serikali kuu. Mheshimiwa Nchimbi haonekani kufurahishwa na hulka za kikazi za RC wa Arusha na hakai na kitu moyoni mwake, anaweka wazi kabisa kutofurahishwa na kauli pamoja na tabia za Paul Makonda.
Mtakuja kutuambia. Hii Secretariat ya Nchimbi ni mbovu kuwahi kutokea. Ni zaidi ya ile ya Wilson Mkama. Picha linaanza wanafanya kazi na kutoa hotuba kama vile ni watumishi wa umma(civil servants). Wamegeuka wasemaji wa maafisa masuhuli na Mawaziri katika maeneo tofauti tofauti. Nadhani hili limechangiwa pia name ukweli kwamba wengi wao wamezoea kuwa watendaji katika maeneo kadha waliopita.
Makonda ndiye anajua na alijua kutafsiri maana halisi ya chama cha siasa, chama tawala na maana ya chama kuunda serikali.

Chama tawala hakipaswi kujiunga katika mlolongo wa Government Bureaucratic system but it should commands the system. Nchimbi and Co. ndio kwanza wameanza ziara ya kwanza lkn kwa jicho la tatu, wanafanya kazi kama bureaucrats wa serikali.

Wanashindwa kutafsiri majukumu yao kwa niaba ya chama. Wanashindwa kutafsiri supremacy ya chama over the govt system. Wanashindwa kukaa upande wa Wananchi ama kuvaa viatu vya wananchi. Wasipobadilika, itakuja kuwa Secretariat Mbovu kuwahi kutokea ndani ya chama cha mapinduzi.
 
Kuna siasa za majibizano zinaendelea ndani ya uongozi wa juu kabisa wa CCM na serikali kuu. Mheshimiwa Nchimbi haonekani kufurahishwa na hulka za kikazi za RC wa Arusha na hakai na kitu moyoni mwake, anaweka wazi kabisa kutofurahishwa na kauli pamoja na tabia za Paul Makonda.
.
Mkuu andiko lako kimsingi linamuhusu JK, tunakuomba uthibitishe jinsi JK anavyoingilia maamuzi ya Raisi aliyepo sasa hivi. Punguza chuki mkuu.
 
Mtakuja kutuambia. Hii Secretariat ya Nchimbi ni mbovu kuwahi kutokea. Ni zaidi ya ile ya Wilson Mkama. Picha linaanza wanafanya kazi na kutoa hotuba kama vile ni watumishi wa umma(civil servants). Wamegeuka wasemaji wa maafisa masuhuli na Mawaziri katika maeneo tofauti tofauti. Nadhani hili limechangiwa pia name ukweli kwamba wengi wao wamezoea kuwa watendaji katika maeneo kadha waliopita.
Makonda ndiye anajua na alijua kutafsiri maana halisi ya chama cha siasa, chama tawala na maana ya chama kuunda serikali.
Chama tawala hakipaswi kujiunga katika mlolongo wa Government Bureaucratic system but it should commands the system. Nchimbi and Co. ndio kwanza wameanza ziara ya kwanza lkn kwa jicho la tatu, wanafanya kazi kama bureaucrats wa serikali.
Wanashindwa kutafsiri majukumu yao kwa niaba ya chama. Wanashindwa kutafsiri supremacy ya chama over the govt system. Wanashindwa kukaa upande wa Wananchi ama kuvaa viatu vya wananchi. Wasipobadilika, itakuja kuwa Secretariat Mbovu kuwahi kutokea ndani ya chama cha mapinduzi.
Good observation!
 
Simuoni JK akiwa amepunguza mahaba yake kwa kina Makamba zaidi zaidi namuona akiwa huru ndani ya Chama.

Wastaafu waliomtangulia wameshaaga dunia hivyo yeye ndiye mkongwe wa CCM tofauti na siku za nyuma walipokuwepo kina RIP Mkapa, Mwinyi wakongwe waliomtangulia na kuwa na uwezo wa kumkosoa hadharani muda wowote.

Samia anapowavuta hao kina Sabaya, Biteko na Makonda anatengeneza kambi yake mwenyewe kwa ajili ya 2025, hivyo unapoona Nchimbi anamkosoa hadharani Makonda anakuwa akifikisha ujumbe kwa Samia kwamba mambo sio rahisi kihivyo kama anavyodhania.

Lakini Mungu anaipenda sana Tanzania, hii ni nchi iliyowekwa chini ya usimamizi wa nguvu za Mungu siku ya tarehe 8 Desemba 1961 kina Makamba na wengine wenye sifa za upigaji wasahau kabisa kuja kuwa warithi wa Samia atakapostaafu.
🤔
 
Minyukano CCM ni vitu vya kawaida kabisa...

Na wana uwezo mkubwa sana wa ku re-group zikishaanza chaguzi, wala hutaona wakifeli...
 
Simuoni JK akiwa amepunguza mahaba yake kwa kina Makamba zaidi zaidi namuona akiwa huru ndani ya Chama.

Wastaafu waliomtangulia wameshaaga dunia hivyo yeye ndiye mkongwe wa CCM tofauti na siku za nyuma walipokuwepo kina RIP Mkapa, Mwinyi wakongwe waliomtangulia na kuwa na uwezo wa kumkosoa hadharani muda wowote.

Samia anapowavuta hao kina Sabaya, Biteko na Makonda anatengeneza kambi yake mwenyewe kwa ajili ya 2025, hivyo unapoona Nchimbi anamkosoa hadharani Makonda anakuwa akifikisha ujumbe kwa Samia kwamba mambo sio rahisi kihivyo kama anavyodhania.

Lakini Mungu anaipenda sana Tanzania, hii ni nchi iliyowekwa chini ya usimamizi wa nguvu za Mungu siku ya tarehe 8 Desemba 1961 kina Makamba na wengine wenye sifa za upigaji wasahau kabisa kuja kuwa warithi wa Samia atakapostaafu.
Urais huwezi ukajipangia angalia marehemu Membe na Marehemu Lowasa,akina Malecela,Salim Ahmed na wengine ilishindikana. Mipango ya Mungu ni migumu na complex.
 
Dai katiba mpya acha kulia lia kijana
katibahaiwekichakula-jpeg.2965844
 
Kuna siasa za majibizano zinaendelea ndani ya uongozi wa juu kabisa wa CCM na serikali kuu. Mheshimiwa Nchimbi
Hakuna tatizo la Kikwete au Makonda.
Hayo 'mapungufu ya Samia kama anavyoyasema Mange Kimambi yamesababishwa vipi na Kikwete?
Kuhusu Makonda ameshawekwa pembeni,lakini inamchukua muda mrefu kuelewa yeye basi tena.
Yeye ahangaike na Wameru,basi.
Na huyu Mange Kimambi amefanya analysis nzuri ya matatizo ya nchi. Nadhani amewafurahisha sana washauri wa rais .
 
Kuna siasa za majibizano zinaendelea ndani ya uongozi wa juu kabisa wa CCM na serikali kuu. Mheshimiwa Nchimbi haonekani kufurahishwa na hulka za kikazi za RC wa Arusha na hakai na kitu moyoni mwake, anaweka wazi kabisa .
Hakuna tatizo la Kikwete au Makonda.
Hayo 'mapungufu ya Samia kama anavyoyasema Mange Kimambi yamesababishwa vipi na Kikwete?
Kuhusu Makonda ameshawekwa pembeni,lakini inamchukua muda mrefu kuelewa yeye basi tena.
Yeye ahangaike na Wameru,basi.
Na huyu Mange Kimambi amefanya analysis nzuri ya matatizo ya nchi. Nadhani amewafurahisha sana washauri wa rais .
"Ametukana" lakini picha ya rais ni nzuri.
 
Back
Top Bottom