- Thread starter
- #21
Bosi akitembea na mke wako hutavujisha siri?Kwani haukula kiapo cha kazi,Kuwa hutavujisha siri za ofisin?
Bosi akitembea na mke wako hutavujisha siri?Kwani haukula kiapo cha kazi,Kuwa hutavujisha siri za ofisin?
Nimetoa siri zako sio? We endelea kujiuza.Acha umbea.
Kumbe ushaisoma hiyo, yaani kisingizio ni kutoana lunchNi balaa. Kila MTU na couple yake. Haijalishi ana mume.
Au Ana mke nyumbani. Full ufuska. Ukimwi utaisha saa ngapi kwa style hii.
Ndio wanavyosemaga.Tumepata mfanyakazi mgeni lakini mbeya kweli.
[emoji1] [emoji2] [emoji2]ebu chunguza vizuri usikute umeajiriwa na danguro co,ltd
Mfyuuuu me muuza genge na kazi za ofcn wap na wapiNimetoa siri zako sio? We endelea kujiuza.
Aseee ni kweli mekuMambo mengne yanaweza yakakufanya hata usitaman kwenda hata likizo na kufanya kaz overtime bila malipo
Yaani naangalia mpaka nawaza sana mke wako anatembea na workmate wake mpaka anambebea ujauzito!!Na ukichanganya ni vile vimavazi vya kimitego,lazima tuwabanjue vizuri.
Thanks for reasoning!Ni balaa. Kila MTU na couple yake. Haijalishi ana mume.
Au Ana mke nyumbani. Full ufuska. Ukimwi utaisha saa ngapi kwa style hii.
Fanya kazWanabodi, kama umeoa au umeolewa na mme au mke wako upo naye mbali kikazi basi unatakiwa usali sana, maana mambo yanayoendelea katika ofisi nyingi miongoni mwa wafanyakazi ni balaa.
Kuna wafanyakazi wenzetu katika ofisi moja wenye jinsia ya kike na wameolewa halafu dizaini flani wanaigiza ulokole, sasa mimi ni mfanyakazi mpya kwenye ofisi hii lakini mambo yanayoendelea ni balaa tupu!
Nimeamini kuwa wafanyakazi wengi wanajiuzaa kuliko hata machangudoa, wadada wa hapa wanauza papuchi kama hawana akili nzuri kwa dau la tsh. 100000 unamkatia chake ndio mnaenda kuduu.
Mmoja amedata na penzi la staff wa hapahapa hadi kufikia hatua ya kupachikwa ujauzito na jamaa,Mme wake ameugomea ujauzito huo na hali ni tete!
Hivyo basi ushauri: kama wewe ni mwanamke au mwanaume upo mbali na mwenza wako fanya utaratibu muwe pamoja, hata kama ana msimamo sana lakini nguvu ya ushawishi ni kubwa sana. Chukua hatua!!.
Kwa kujitetea ss ila alichoongea mtoa mada ndicho kilichopo!Acha umbea.
Huo ndio ukweli wamekalia ubishi tu!Usibishe,makampuni mengi siku hizi wadada na wake za watu ndo machangudoa wa makampuni,ni kugegedwa tu kwa makubaliano ya kuweka dau..!!