Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
nashukuru mbunge wangu(lema) sio sehemu ya utumbo huu unaoendelea bungeni.ccm imeamua kumwaga mboga kabla haijafutika rasmi 2015
Nina uhakika angesha piga mtu kwa matusi yanayoendelea bungeni...sipati picha lema ange ambiwa unawasha nini? na wenyekiti wa siku hiyo..hahahaha