Yamenikuta yakunikuta

Yamenikuta yakunikuta

Mkuu pole sana, kwa kuwa ukweli umeshajulikana, we jidai huna aibu ukae nyumbani kwako, muombe msamaha wife na uache huo ujinga. ukiukwepa ukweli, hutaweza pia kuyakwepa madhara yake. Kaa kiume.

Jamaa alinichekesha siku moja chuo, ametoka kuoga, taulo likadondoka mbele ya wadada flani, yeye wala hakuwa na wasiwasi, akawauliza mnashangaa nini, akachukua taulo lake akajifunga kama hama kitu kilichotokea. Japo kweli aliaibika lakini kule kujifanya vile kulifanya kile kitendo kionekane cha kawaida japo hakiko hivyo.

Beba msalaba wako, rudi nyumbani, kuwa imara baada ya muda nalo litapita. ukikaa nje ya nyumban nadhani aibu itakuwa kubwa zaidi na kurudi labda baada ya miaka mingi.
 
umefika wakati wa wanaume kubadilika sasa,
na kama vipi acheni tu hayo madude yenu nje.
 
Habarini za asubuhi ndugu zangu naombeni ushauri wenu wa dhati maana niko njia panda sijui lipi la kufanya,mimi naishi Arusha nina mke na watoto wawili sasa hivi karibuni kama miezi 5 iliyopita nilipata mgeni pale nyumbani kwangu ni binti kama wa miaka 20 ni ndugu yake na wife.yule binti kwakweli ni mrembo sasa shetani alinipitia nikajikuta natembea nae, hako ka mchezo hua nakafanyia hapohapo nyumbani mda labda wife hayupo na msichna wa kazi sometime hayupo .sasa msichana wangu wa kazi alishtukia huo mchezo ndipo alipomweleza wife kila kitu, wife nae akambana yule ndugu yake hadi akakubali kua ni kweli hua na duu na baba mda ukiwa haupo,yaliyo nikuta nikwamba nimewekwa kikao na binti akaongea yoote mbele ya kadamnass ndugu zangu ni aibu maana majirani wanajua hadi watoto wanajua sasa niko njia panda sijui nianzie wapi nahisi ndoa yangu ndoa bass tena ,emebidi nitoke home kwa mda niko kwa washkaji angalau labda hasira ya wife itapungua


Pole sana kwa yaliyokukuta. Nimeshukuru kwa sababu umejutia kosa ulilolifanya na na uko hapa kuomba ushauri. Nafikiri kikubwa ni kumuomba msamaha mke wako kwa yale yaliyotokea na kusikiliza msimamo wake kwako. Kama utasamehewa, ni vyema kumuondoa yule binti nyumbani kwenu na pia wewe mwenyewe kukubali kubadilika na kuacha kabisa hizo tabia.

Kama hautasemehewa kwa sasa, mnaweza kupeana break, huku wewe ukiachana kabisa na mambo ya namna hiyo na kujaribu kujirudi na baada ya muda kurudi tena kwa wife wako kuomba suluhu pengine hata kupitia kwa ndugu wa karibu na marafiki.

Ila ki ukweli, ukishasaliti ndoa na kukamatwa mara nyingi unakuwa umevunja hali yako ya kuaminiwa ndani ya ndoa. Ni vyema kutokurudia mchezo huo hata kama wife wako atagoma kata kata kukusamehe.
 
We kausha, muombe msamaha mkeo kwa ushosti uliomfanyia onesha kama unajutia saaaaana tena unakifanya umeokoka. Kipind nakaa Morogoro kuna mzee alim byuuuuuu mtoto wake maeneo ya kota za reli na mtaaa mzima ukajua lakini aliendelea kukaa kama hana habari yoyote na wanaendelea kuishi na mke wake ila kama unajishtukia hama mtaa. Ila huyo dogo unatakiwa umtoe hapo maana hukawii kum byuuuuuu tena.
 
yeye ndo faza house kamseduce tu huyo binti wa 20 yrs, usikute kamtishia hata kumfukuza

Chezeya utamu wa nanilihuu wewe, push ups za kiuno hatareee....binti hajalazimishwa na ndio maana alizoea kamchezo
 
unajali wa mitaani kuliko wife? We kweli backassswards. ndio basi tena ulikuwa unategemea nini kitokee baada ya kutembea na huyo binti?






.
dahh ndugu yangu huo sio msaada niliokua naomba kwanza nawaza mambo mengi maana wife sidhani kama aneweza samehe hii kitu lengine pia hao mtaani sijui ntakatizaje??
 
Mh jamani wanaume msione kitu kinatembea fasta kufungua zipu,,ndo asili nini hiyo manake kama sio house girl bas shemeji ama rafiki..acheni kuendekeza tamaa za kijinga,,kwani huyo mkeo alikua hakupi ama..hapo ushamaliza lakini binadamu tunatakiwa kusamehe mara 7 *70 so omba msamaha na Muombe Mungu ainusuru ndoa yako,,ndo mapito yako hayo
 
akili za kiume sijui zikoje.

under yr roof?? bora hata ungeenda mbali aisee

Huyu jamaa maybe it was his first time kupitiwa na shetani....so hakuwa na choice akaona ayamalizie nyumbani..
 
Ndugu ,Majirani,Hata Watoto wanajua!,Mbona na sisi tumeshajua Tayari,Huoni kama ni wewe Mwenyewe ndie unaye wajulisha watu?.
 
Mkuu inawezekana mahari ulizidisha,umeamua kuirudisha kivingine!
 
ni shetani alinipitia mimi mwenyewe najuta, tatizo liko kwa huyu bi mkubwa sijui kama anaweza sahau

kweli shetani yupo na ni mkubwa sana lakini tunamsingizia tu, we sema uzalendo ulikushinda kwa huyu binti, na kingine ni tamaa yetu sisi wanaume, sasa jiulize ulipata nini kipya alichokunyima mkeo? bucha tofauti nyama ileile matatizo kibao. pole.
 
kuna jamaa yalimtokea kama ya kwako, ila yeye alipogundua kuwa house girl kawashtukia akam-do na hause girl pia so ikabidi wote wakae kimya. Wanaume wengine sijui wapoje.
 
za kiume unakuwa kama unatuinclude wote sis, huyo kakosea mwenyewe kijinga tu, wengine werevu hata we unawajua.
 
Kosa ulikubali kukaa kikao cha kadamnasi. ungeingia mitini hata iweje, unakaa na wife tu. uzembe kulia hme
 
Habarini za asubuhi ndugu zangu naombeni ushauri wenu wa dhati maana niko njia panda sijui lipi la kufanya,mimi naishi Arusha nina mke na watoto wawili sasa hivi karibuni kama miezi 5 iliyopita nilipata mgeni pale nyumbani kwangu ni binti kama wa miaka 20 ni ndugu yake na wife.yule binti kwakweli ni mrembo sasa shetani alinipitia nikajikuta natembea nae, hako ka mchezo hua nakafanyia hapohapo nyumbani mda labda wife hayupo na msichna wa kazi sometime hayupo .sasa msichana wangu wa kazi alishtukia huo mchezo ndipo alipomweleza wife kila kitu, wife nae akambana yule ndugu yake hadi akakubali kua ni kweli hua na duu na baba mda ukiwa haupo,yaliyo nikuta nikwamba nimewekwa kikao na binti akaongea yoote mbele ya kadamnass ndugu zangu ni aibu maana majirani wanajua hadi watoto wanajua sasa niko njia panda sijui nianzie wapi nahisi ndoa yangu ndoa bass tena ,emebidi nitoke home kwa mda niko kwa washkaji angalau labda hasira ya wife itapungua





Sasa kwa hapa ulipofikia unadhani utashauriwa nini ndugu yetu??? Kwa nini hukuja kuomba ushauri kabla mambo hayajaharibika kiasi hiki?Kama ni maji yameshamwagika na kuyazoa haiwezekani,na kama ni aibu imeshakukumba na huna jinsi ya kukwepa.You should face the consequences of your own deeds.
 
ni shetani alinipitia mimi mwenyewe najuta, tatizo liko kwa huyu bi mkubwa sijui kama anaweza sahau

Shetani gani km sio uongo!?ww ni mshenz 2,Yaan umeshindwa kwnda nje huko!dah!kweli ndoa mateso,km mambo yenyw ndo hayo bac bana
 
umepata ulichokihitaji. safi sana kwa muke wako. angalia usije ukaanza kuwatokea washkaji zako au wanawake zao kwenye hiyo geto
 
kama mkeo mpakasasa yupo haondoki tena sasa huko gheto si ungejificha ili kumkwepa ibilisi.lakini si ilikuwa tamu yatapita tu kaka.
 
Back
Top Bottom