Wandugu Masanja
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 1,584
- 553
rafiki yangu shetani hakukupitia, hilo ondosha, kubali kuwa ulifanya makosa kwa kuelekea kwenye tamaa ya kumla shemegi ndio yale shemegi kula,ingelikuwa mara moja tu afadhali lakini kila leo wewe ulikuwa umepanga,
Aibu sio yako kwani wewe huna aibu, aibu iko kwa familia yako sio kwako, wewe rudi nyumbani wala usiwe hasira kwani ulikubali yatokee, Mke wako anaweza kukusamehe lakini asipokusamehe unaeza kuomba kushi pamoja ili kulea watoto hio ndio njia pekee ya kueza kurudi lakini usijaribu kulazimisha
Mimi kibamia changu kinajifurahisha na picha za Mbuzi mzee wala hakitaki kuwa na mashetani zaidi ili kuepuka majaribio kama yako
Aibu sio yako kwani wewe huna aibu, aibu iko kwa familia yako sio kwako, wewe rudi nyumbani wala usiwe hasira kwani ulikubali yatokee, Mke wako anaweza kukusamehe lakini asipokusamehe unaeza kuomba kushi pamoja ili kulea watoto hio ndio njia pekee ya kueza kurudi lakini usijaribu kulazimisha
Mimi kibamia changu kinajifurahisha na picha za Mbuzi mzee wala hakitaki kuwa na mashetani zaidi ili kuepuka majaribio kama yako