Yamenikuta mwenzenu

Yamenikuta mwenzenu

mabinti nowadays wanagongwa hata na babu zao, nini miaka nane? pole lakini
 
Nina mdogo wangu nimemzidi miaka 7....lakini kwenye kitambulisho cha kupigia kura kanizidi miaka 8.........
 
Njoo kwangu umri wangu mkubwa nimekuzidi miaka 5 nasijaowa kama vipi tupeane mawasiliano
 
Nina mpenzi wangu ambaye alinidanganya kuhusu umri wake, kutokana na umbo lake kubwa wala sikutia shaka jana ndio nimekibamba kitambulisho chake cha kupigia kura kumbe mimi ndio nimemzidi miaka 8 nilighafirika mno sikupanga kungonoka na mtu niliyemzidi umri kiasi hicho sikujua kumbe nilikuwa najidhalilisha naona hadi aibu kumvulia tena chup*

NIPENI POLE

Kwani unamiaja mingapi?

Kumvulia chupi babu zako hauoni tatizo
 
Nina mpenzi wangu ambaye alinidanganya kuhusu umri wake, kutokana na umbo lake kubwa wala sikutia shaka jana ndio nimekibamba kitambulisho chake cha kupigia kura kumbe mimi ndio nimemzidi miaka 8 nilighafirika mno sikupanga kungonoka na mtu niliyemzidi umri kiasi hicho sikujua kumbe nilikuwa najidhalilisha naona hadi aibu kumvulia tena chup*

NIPENI POLE

Njoo univulie mimi hiyo chup*, mimi ni babu?
 
Nina mpenzi wangu ambaye alinidanganya kuhusu umri wake, kutokana na umbo lake kubwa wala sikutia shaka jana ndio nimekibamba kitambulisho chake cha kupigia kura kumbe mimi ndio nimemzidi miaka 8 nilighafirika mno sikupanga kungonoka na mtu niliyemzidi umri kiasi hicho sikujua kumbe nilikuwa najidhalilisha naona hadi aibu kumvulia tena chup*

NIPENI POLE

= nilighafilika
 
Nina mpenzi wangu ambaye alinidanganya kuhusu umri wake, kutokana na umbo lake kubwa wala sikutia shaka jana ndio nimekibamba kitambulisho chake cha kupigia kura kumbe mimi ndio nimemzidi miaka 8 nilighafirika mno sikupanga kungonoka na mtu niliyemzidi umri kiasi hicho sikujua kumbe nilikuwa najidhalilisha naona hadi aibu kumvulia tena chup*

NIPENI POLE
Kwani dusherere yake nayo umeizidi? Kama ndivyo basi pole kwake.
 
Mimi nakuzidi miaka minane na kama huamini sema nikutumie kitambulisho changu cha kupigia kura. Nipe namba yako tuanze kuendeleza ujenzi wa taifa hili changa



Nina mpenzi wangu ambaye alinidanganya kuhusu umri wake, kutokana na umbo lake kubwa wala sikutia shaka jana ndio nimekibamba kitambulisho chake cha kupigia kura kumbe mimi ndio nimemzidi miaka 8 nilighafirika mno sikupanga kungonoka na mtu niliyemzidi umri kiasi hicho sikujua kumbe nilikuwa najidhalilisha naona hadi aibu kumvulia tena chup*

NIPENI POLE
 
Nina mpenzi wangu ambaye alinidanganya kuhusu umri wake, kutokana na umbo lake kubwa wala sikutia shaka jana ndio nimekibamba kitambulisho chake cha kupigia kura kumbe mimi ndio nimemzidi miaka 8 nilighafirika mno sikupanga kungonoka na mtu niliyemzidi umri kiasi hicho sikujua kumbe nilikuwa najidhalilisha naona hadi aibu kumvulia tena chup*

NIPENI POLE

Poleeeee... Na mrembo unakuwaje mpekuziii Mpaka unakuta viso Kuridhii?
 
Uuuuwwwiiii.... umembemenda kijana wa watu...

Lakini poa tu... mbona Domondo anapeta na Zari??
 
Nakushauri kwanza jitambue,pili fanya maamuz ya kiutu uzima ili upruv kama kwel ni mkubwa kwake,tatu age is just a number na ndio maana hukuona tofaut yeyote ile had ukamvulia nguo...ukwel hajakudanganya ila ulijidanganya na kama unamuacha exactly una sababu nyingine but be care una mwisho mbaya kama maisha yako yatakuwa ya style hii....


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Endelea kumbemenda tu uyo kijana mbona kawaida tu
 
Nina mpenzi wangu ambaye alinidanganya kuhusu umri wake, kutokana na umbo lake kubwa wala sikutia shaka jana ndio nimekibamba kitambulisho chake cha kupigia kura kumbe mimi ndio nimemzidi miaka 8 nilighafirika mno sikupanga kungonoka na mtu niliyemzidi umri kiasi hicho sikujua kumbe nilikuwa najidhalilisha naona hadi aibu kumvulia tena chup*

NIPENI POLE
Wakwere utawajua tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom