Hii si KikHata hii Kiki unazingua.
Unasemaaa?hebu tulia kwanza hesabu 1 mpaka 100,,,
halafu tuambie yaliyokusibu,,NB Kukimbia tatizo sio suluhisho.....
Shida niniHabari za usiku
Kweli usilolijua ni usiku wa Giza
And when it rains it pours
Yamenikuta mwenzenu
Toka last week sina raha
Saivi nahangaikia passport niende zangu south ama Botswana
Kweli hujafa hujaumbika
Anyway nitasimama tena Mungu ni mwema
Nb:nahitaj faraja zenu kashfa zenu ziwekeni pembeni kwa leo.Nioneeni huruma ndugu yenu.
Nisaidie namba yake mamy
Am serious
nondo tena zimefanya?,,,Unasemaaa?
Unazijua nondo wewe?
huruma ya nn ? eleza tuelewe acha kulia lia au tuchomoe betri ??Habari za usiku
Kweli usilolijua ni usiku wa Giza
And when it rains it pours
Yamenikuta mwenzenu
Toka last week sina raha
Saivi nahangaikia passport niende zangu south ama Botswana
Kweli hujafa hujaumbika
Anyway nitasimama tena Mungu ni mwema
Nb:nahitaj faraja zenu kashfa zenu ziwekeni pembeni kwa leo.Nioneeni huruma ndugu yenu.
Hahahahah haya banaBidada kasimamishwa kazi halmashauri..
Tatizo nawe ulizidi mno nyodoo..
Wakati ofisini kuna wenyewee
Pole na safar njema.
Ni nini sasa mrembo?Hahahahah haya bana
Ila siko huko ndugu
Umeme si arv zipo?Umeme nn
Nishasema Hali hairuhusu niongee,wataka wanitrackNi nini sasa mrembo?
Au wamekusakizia kesi ya unga
Ok,ni vizuri ukaaga lakini.Nishasema Hali hairuhusu niongee,wataka wanitrack
Ngoja nikikamilisha passport nitayamwaga hapa
Dunia kubwa hii wacha nikayagange nje ya Tz vyeti vinaruhusu mbona
Miongoni mwa manesi kule bariadi waliokamatwa kwa upotevu wa mashine ya ultrasoundSiwezi kuwa specific ndugu,hali bado Tete
Ila maisha haya,siasa zinatuangamiza watanzania,mtego wa panya unadaka hata asiyehusika
Nipe pole tu ndugu yangu.
mkuu ungesubiri hadi hali iruhusu ndio ulete uzi wako hapo, tusichoshane tafadhari heshima kitu cha bure...Asante siwez sema hali hairuhusu kwa sasa
Hapana huyu sio nesi.Miongoni mwa manesi kule bariadi waliokamatwa kwa upotevu wa mashine ya ultrasound
We sema ukweli umefukuzwa kazi na waziri Wiliam Lukuvi, we ni miongoni mwa wafanyakazi 183 wa wizara ya ardhi mliofukuzwa kazi na Lukuvi, yaani nimekujua vizuri tu na kituo chako cha kaziHabari za usiku
Kweli usilolijua ni usiku wa Giza
And when it rains it pours
Yamenikuta mwenzenu
Toka last week sina raha
Saivi nahangaikia passport niende zangu south ama Botswana
Kweli hujafa hujaumbika
Anyway nitasimama tena Mungu ni mwema
Nb:nahitaj faraja zenu kashfa zenu ziwekeni pembeni kwa leo.Nioneeni huruma ndugu yenu.
KweliiiiHapana huyu sio nesi.
Kadakwa na mume wa mtu, kamwagiwa ugali wake kazini,na bado anatafutwa zaidi ili ashikishwe adabu.
Hivyo njia ya pekee ni kuwa "mkimbizi"
Si ungenyamaza tuu usiandike thread...sasa ona unavyotufanyia....tunaoumia ni Sisi wapenzi wasomajiHii si Kik
It's true yamenikuta
Anyway ngoja ninyamaze ila Mungu wangu atanipigania,naamin na hili litapita
Ingawa dah basi tu ...