Yamenikuta mwenzenu.....

Yamenikuta mwenzenu.....

Hakuna kuondoka hapa mpaka tujue shida nini
FB_IMG_1564927389276.jpeg
 
Mume wa mtu bongo
Sina time nao hao
Niombee tu na hili lipite salama
Kukikucha nitapata cha kushauri
 
Nguruwe poli wewe ushaliwa tako kisa wake za watu
 
Kukikucha nitapata cha kushauri
Imebidi nipitie nyuzi zake 😃😃😃
 
Habari za usiku
Kweli usilolijua ni usiku wa Giza
And when it rains it pours
Yamenikuta mwenzenu
Toka last week sina raha
Saivi nahangaikia passport niende zangu south ama Botswana
Kweli hujafa hujaumbika
Anyway nitasimama tena Mungu ni mwema
Nb:nahitaj faraja zenu kashfa zenu ziwekeni pembeni kwa leo.Nioneeni huruma ndugu yenu.
Tukufariji kwa lipi au tukuonee huruma kwa nini
 
Back
Top Bottom