Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,791
Wanajamvi habari zenu. Mimi nina mchumba wangu ambaye ni mkristo mwenye imani sana na dini yake. Mtaratibu, mpole, na ana heshima sana. Katika mahusiano yetu hatujawahi kufanya mapenzi mpaka tutakapofunga harusi na pia ni bikra. Nilipata safari kwa mda nimerudi nimemkuta amejifungua mtoto wa kiume. Nimeshangaa namuuliza kulikoni, anadai mimba hiyo alipewa na malaika.
Nimemwamini ila nikamuambia kama ndivyo basi huyu mtoto atakuwa nabii hivyo amsimamishe ili atembee juu ya maji kama Yesu, akaniambia amefunuliwa ndotoni kuwa mtoto huyo ataanza kufanya maajabu atakapofikisha miaka mitano.
Hapa nimeanza kupata shaka naombeni ushauri!
Wee subiri subiri baada ya muda atakuletea mdogo wake NaBii then atapata mimba nyingine ya tatu atazaa mtoto mwingine wa kike atakwambia DADA WA KINABII...,yote tisa kumi siku utakapomfumania mwenyewe kwa macho yako yaani unamwona Mpenzi wako anagegedwa ndipo atakapo kuambia Huyu ni MALAIKa AMEAGIZWA AJE ANIGEGEDE nipate nabii mwingine..