Sijaelewa, bikra halafu amejifungua mtoto? 😕😕😕
hupati faida yoyote kukashifu dini za wenzako, najua unajua lengo la mada hii likikua nini
Hivi nyie mlopata kuchangia mme anzaje? minashindwa nianziewap Mtoa post nikumbushe nianzeje?
Mimi sijakwambia utaje dhehebu, nasema bora imani ingekuwa kwa Mungu wa Mbinguni sio kwa Kakobe au nabii Joshua. Bado sana utakuja kukumbuka shuka kumekucha, in short unalea mimba ya meanaume mwenzio na huyo mlokole feki kakugeza wewe ----, POYOYO, ZEZETA kwa kisingizio cha imani kali. Acha uzembe wewe, wanaume hatuko hivo.
hee nimekumbuka mwimbo wa bushoke wa mme -----..
Humu ndani kunavituko kweli khaaaa!
Omba yasikukute.
kidumu! zidumu fikra za mwenyekiti