Mmhhh, wamekuingizia wajanja. Ni bora angekuwa na imani kwa Mungu wa Mbinguni, lakini ana imani ya dini tuu, sijui. Ni dini gani hiyo....mizimu ama???
Usihofu, miaka mitano si mingi. Juzi tuu tulimchagua rais kipindi cha pili, sasa ana aga aga watz. Nawe ngojea kama unamwamini. Mtwae awe mkeo ila usim do mpaka ajifungue huyo mtoto hata kama kafanana na jirani usijali. Nabii hufanana na watu wake. Hata akijifungua, ili maajab yatokee vizuri, mtunze vizuri mamake mpaka mtoto akuruhusu kumletea mdogo wake. Utapata baraka na hishima kwa Muumba wako.
Sijaelewa, bikra halafu amejifungua mtoto? 😕😕😕
chai+kande+maziwa mabichi+mlenda= UTOKO
Kidumu chama cha mapinduzi
Mkuu mpyepye tuwekee picha tafadhali!Wanajamvi habari zenu. Mimi nina mchumba wangu ambaye ni mkristo mwenye imani sana na dini yake. Mtaratibu, mpole, na ana heshima sana. Katika mahusiano yetu hatujawahi kufanya mapenzi mpaka tutakapofunga harusi na pia ni bikra. Nilipata safari kwa mda nimerudi nimemkuta amejifungua mtoto wa kiume. Nimeshangaa namuuliza kulikoni, anadai mimba hiyo alipewa na malaika.
Nimemwamini ila nikamuambia kama ndivyo basi huyu mtoto atakuwa nabii hivyo amsimamishe ili atembee juu ya maji kama Yesu, akaniambia amefunuliwa ndotoni kuwa mtoto huyo ataanza kufanya maajabu atakapofikisha miaka mitano.
Hapa nimeanza kupata shaka naombeni ushauri!
nimeishia kucheka
Mwenzio akinyolewa ...
Kidumu chama cha mapinduzi
Simshangai mchumba wako..Nakushangaa wewe..!!
hadithi ya kufikirika hii