- Thread starter
- #41
naogopa kusema ukweli yakinifu kuhusiana na dhamira za thread hii, kwa sababu ya kula ban,
tiririka mkuu.
naogopa kusema ukweli yakinifu kuhusiana na dhamira za thread hii, kwa sababu ya kula ban,
Ooohhh haleluya...!
ulisafiri muda gani? ulimpima bikra mwaka gani? za kuambiwa changanya na zako. ww malaika hajakutokea kukwambia usimwache? maana hata yusufu alitaka kumwacha mariam ila malaika kamwambia asimwache. hapo ndipo alipopata uhakika.
hahahahaahhaha...mbombo ngafu
Kikwetu kimasai utoko huo tunaita olnjapirik.
Kama mwaka mmoja hivi..nasubiria malaika anitokee kunipa msisitizo ila hollaa!
Ngafu Fijo!
kuitaja dhehebu lake inaweza kuwa kero kwa wengine.. ila ni muumini mzuri tu na ametokea ktka familia yenye imani kali .