Yamenikaba kooni

Yamenikaba kooni

Nikiwa chuo niliwahinkuwa na demu baba mrombo mama mmachame, yaani alikuwa anakera sana stori zake zote alizokuwa akinipigia ni za.kikatili tu, mara utasikia baba na maa yake wamezichapa, mara utasikia kashawaibia wanaume pesa wakiwa gest na.kudai eti hakugegedwa huko gest utasikia eti wana limbwata lao la kuchinja mbuzi juu nguo zako na unakuwa zezeta( ndio mzee).
Niliishi mahusiano yale bila raha nikayapiga chini.
 
wamachame noooma! labda uwe maskini forever ndo utakuwa salama, otherwise utadedi fasta

Ukiwa masikini pia atakukimbia ukiwa unaona labda uwe na pesa kiasi na umpe yeye na ndugu zake ndio utakuwa salama.
 
upuuzi huu, kwa uhakika zaidi hebu jaribu kufuatilia ndugu wa huyo mchumba wako waume zao wamekufa kwa mazingira ya utatanishi? kama sio wapuuzie, kabila halina tabia, tabia ni za watu
 
Mkuu,
Achilia Mbali Ndugu zako
81.25% ya Wadau Hapo Juu wamekushauri Uachane na Huyo Mmachame Except Pythagoras ambaye Haeleweki yupo wapi.

Bado tu unataka kuwa Nawe?
 
Last edited by a moderator:
Mtu akianza kuongelea hawa watu nakumbuka tukio la Mwanahabari mtangazaji Ufosaroo aiseeee tamaa ya mali ikamtoa roho mama yake tukio likifanywa na mzazi mwenzie
 
Nashukuru mkuu ,ila hata yeye nimemhoji alichoniambia ni kwamba hivyo vitu vipo ila ipo kwa baadhi ya watu lakin sio wamachame wote wapo hivyo.Kwa hiyo nikaona ni busara nije niombe ushauri hapa kwa waalamu zaidi ili tushare ideals.


Sawa ila mimi sina kabisa imani na wanawake wa kichagga kwani ni majinamizi ya talaka na mapenzi. Kwa kifupi, wanawake wa kichagga si wa kuoa.
 
Jirani yetu hapa mangi tayari kesha tutoka wiki iliyipita. Ndio alikuwa ameanza kufurahia maisha. Kamaliza nyumba, magari yake na vitega uchumi vya kutosha. Mke ni laini hiyohiyo...kifo ni cha ghafla kwakweli.
 
Mmhh,

Nguvu kwisha kabisa,hadi natetemeka kwa haya niliyoyasoma.
 
Kama kweli unataka ushauri ngoja nami nijaribu kuwa sehemu.ya.walokushauri. Nadhani kumekuwa na dhana mbaya sana juu ya wanawake wa kimachame na kila mahali unapogusa unapewa na mifano kadhaa ya matukio.
Sasa kwahistoria (isiyo rasmi) ni kwamba vijana wa kimachame waliuwawa sana na wakibosho enzi za mapambano. Kwakuona hilo na uwezo wa kupigana wa wamachame umepungua viongozi wa kimachame wakawashauri mabinti.zao wakubali kuolewa na wakibosho na wakishakuwa wamezoeleka na kuwa na watoto wawaue waume zao. Kwahiyo mabinti wakashawishiwa na kukubali na wakatekeleza maelekezo.hayo. Kwahiyo wanaume wengi wa kikibosho wakawa wanauliwa kimia.kimia na wake zao.(wakimachame)
Sasa kwanini nimekupa kisa hiki.

1: Wanawake hao hawkuwa wanaua.ili kurithi mali kama inavotafsriwa na watu wengi bali lilikuwa lengo la kulipiza kisasa kama mbinu ya kivita. Mbinu hii inatumia hata na majasusi wa.leo hii tena kwa level za.juu kabisa.
2: Jambo hilo.lilitokea kipindi cha kivita. Kwahiyo ni jambo la kihistoria zaidi lakini sio la wakati wa sasa.
3: Upotoshwaji wa habari. Kama nilivoeleza hapo juu kuwa lengo halikuwa kupata mali bali kulipiza kisasi. Sasa jambo hili lilitafsiriwa vibaya na watu wengi kuwa wamachame.wanau waume.zao hasa wakishapata mali . Uongo huu umeenea sana kiasi kwamba sasa imeaminika kuwa ni kweli.

4: Sasa kwanini wengi wa wanume walio wamachame wanaonekana kufa mapema(kama mdau mmoja alivoeleza hapo juu kuhusu mbezi nk.)? Hapa ishu ni moja tu dhana potofu(misconception). Kwakuwa kulishakuwa na mawazo ya mauji kutekelezwa na wanawake wa kimachame,
Mosi; watu wengi wanafuatilia sana ndoa zinazohusisha wanawake wa kimachame kuliko.ndoa.zingine. Kwa maana hiyo mtaani wakifa wanaume 6 ila mmojaikawa mke wake ni mmachame then yeye ndiye ataonekana na wale wengine5 hawataonekana hata kama wote tuseme ni wapare/sukumu nk.
Pili; kwa dhana hiyo potofu then kifo chochote kinachohusisha mwanamke wa.kimachame kitatafsiriwa kuwa ni mauaji. Hiki ndicho kinachotekea mara nyingi.

Mwisho. Kila kabila na hata ukoo lina watu amabo.wanatabia zisizo faa. Kwahiyo inawezekana kuna makabila/ukoo wanaua waume zao kuliko wamachame lakini kwa sababu nilizozitaja hapo juu kesi inakuwa kwa wamachame zaidi.
Nina ushahidi wa shangazi yangu aliyekuwa mmachame kwakeli alikuwa wa kipekee familia ukoo na jamii nzima walimkubali(bahati.mabya ni.marehemu kwa sasa) ila binafsi niliomba Mungu anipe mke mwenye hata nusu ya tabia zake kwakweli alikuwa wa kipekee. Kwahiyo kuna watu wazuri machame na kuna watu.wabaya kwingineko.
Ni hayo tu kwa sasa mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: SIM

Similar Discussions

Back
Top Bottom