Yamenikaba kooni

bongompya

JF-Expert Member
May 10, 2015
224
43
Wadau ,naombeni ushauri wenu,nimepata mchunga kutoka Machame yaani Binti wa kimachame,lakini familia yangu pamoja na jamaa zangu hawapo tayari kuona naendelea na huyu msichana.Wakidai mabinti toka huko sio wazuri sana kuolewa au kuchumbiwa kwasabu ,inasemekana tabia za huko machame sio nzuri kwa wanaume wanaowachumbia na kuwaoa na Hawajasema tabia zipi.Sasa naombeni mnijuze ni tabia zipi na mambo yepi mabaya ambayo watu wengi huwasifia kwamba hawa watu wanayo? Naombeni ushauri wadau wangu
 
Hao wanaokukataza usichumbie/ usioe huko waambie wakupe sababu za maana sio wakalie mambo yao ya kizamani.

Unajua nchi hii kuna watu bado wajinga sana hali ya ka ukabila bado kameujaza mioyo yao.
 
Mmeanza tena upuuzi huu!!hebu waacheni Dada zangu watumbue xmass Kwa raga zao!!
 
Bongompya hakuna kabila zuri wala baya, kila kabila lina udhaifu wake.
Kumekuwa na vijineno kuwa wamachame huua waume zao mara wapatapo mafanikio kimaisha ili wabaki na utajiri.
Kutokana na maneno hayo hata hata mme akifa kifo cha kawaida watu huunganisha dots. Mfano mzuri ni maeneo ya mbezi beach hasa eneo la tankbovu kuna nyumba nyingi kiasi ambazo wamejenga wamachame but wanaume wengi wamefariki na wengi wa majirani husema ni wake zao wamehusika na vifo vyao.
Hayo ni maneno tu, nijuavyo mimi wamachame wachapa kazi wazuri, wameumbika sana wengi wao na wana maendeleo sana kutokana na juhudi zao kiutaftaji. Labda ninyi wakibosho kwani hawapatani kabsaa na haitatokea wakajenga nyumba zao zitazamane
 
Mmh! Kumbe na mfano unao?
Why mbezi beach?
Why tankbovu
Why machame
Why wafe waume zao tu?

Nilikuwa nawatetea naanza ku doubt mkuu.
 
Wakuu nashukuru kwa michango yenu ,ila nasubiri ushauri zaidi.
 
Wadau ,naombeni ushauri wenu,nimepata mchunga kutoka Machame yaani Binti wa kimachame,lakini familia yangu pamoja na jamaa zangu hawapo tayari kuona naendelea na huyu msichana.Wakidai mabinti toka huko sio wazuri sana kuolewa au kuchumbiwa kwasabu ,inasemekana tabia za huko machame sio nzuri kwa wanaume wanaowachumbia na kuwaoa na Hawajasema tabia zipi.Sasa naombeni mnijuze ni tabia zipi na mambo yepi mabaya ambayo watu wengi huwasifia kwamba hawa watu wanayo? Naombeni ushauri wadau wangu


Mtungue manati mapem huyo, mmachame si mke wa kuwa naye hata wa bure. Hao watakuja kukuua kama una mali na kama hauna watakulazimisha kuwa mwizi/jambazi. Tupilia mbali.
 
Mtungue manati mapem huyo, mmachame si mke wa kuwa naye hata wa bure. Hao watakuja kukuua kama una mali na kama hauna watakulazimisha kuwa mwizi/jambazi. Tupilia mbali.

Nashukuru mkuu ,ila hata yeye nimemhoji alichoniambia ni kwamba hivyo vitu vipo ila ipo kwa baadhi ya watu lakin sio wamachame wote wapo hivyo.Kwa hiyo nikaona ni busara nije niombe ushauri hapa kwa waalamu zaidi ili tushare ideals.
 
wamachame noooma! labda uwe maskini forever ndo utakuwa salama, otherwise utadedi fasta
 
Wadau ,naombeni ushauri wenu,nimepata mchunga kutoka Machame yaani Binti wa kimachame,lakini familia yangu pamoja na jamaa zangu hawapo tayari kuona naendelea na huyu msichana.Wakidai mabinti toka huko sio wazuri sana kuolewa au kuchumbiwa kwasabu ,inasemekana tabia za huko machame sio nzuri kwa wanaume wanaowachumbia na kuwaoa na Hawajasema tabia zipi.Sasa naombeni mnijuze ni tabia zipi na mambo yepi mabaya ambayo watu wengi huwasifia kwamba hawa watu wanayo? Naombeni ushauri wadau wangu

Chinja chinja kaa mbali kijana......!
 
Nashukuru mkuu ,ila hata yeye nimemhoji alichoniambia ni kwamba hivyo vitu vipo ila ipo kwa baadhi ya watu lakin sio wamachame wote wapo hivyo.Kwa hiyo nikaona ni busara nije niombe ushauri hapa kwa waalamu zaidi ili tushare ideals.

Ulitegemea akwambie hata yeye ni chinja chinja/??
 
mi maza wakat nakua kua aliniambiaga chonde chonde usije ukaniletea mkwe mmachame.
 
Hayo mambo niliyasikia tangu nikiwa mdogo sana miaka mingi iliyopita.

Sina hakika kama bado yapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom