Nicole
JF-Expert Member
- Sep 7, 2012
- 4,274
- 2,514
Haya bishosti atakuja tu naona anamalizia kumuaga boss
Si unajua lara 1 ni mjasiriamali wa masuala haya.....Anakupa vitu vyake na anakushauri next time uende vipi sio unakurupuka.
Kaunga ana huruma za kilokole. Preta ha-mind ataponda, Wiyelele atasifia jamaa alikuwa shujaa dhaifu.