ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
Hiyo damu itamuandama sana,ingawa anaona ame-win
kweli kabisa..
Hiyo damu itamuandama sana,ingawa anaona ame-win
Alifata k ya bure nn?....angekufa,wanaume nanyi mbadilike k za mafungu zitawatokea puani, mzabzab hebu njoo uwape somo madogo
Huyo mume wa mtu alifata nn huko cha ajabu ambacho mkewe hakuwa nacho?
Siyo ya bure bali anataka K zilizoenda shule..huwa nawaskia vijana wa mtaani huku kwetu Mabibo..oohh..ninademu mkali sn yupo chuo na anaishi mabibo Hostel..ni prestige kwao kuwa na demu wa chuo siyo..mmhh..wangejua jinsi zilivyotumika hizo za chuo..!!
all of the aboveWapi kunapotia kichechefu na kwa nani?
Kwenye red au blue?
Alifata k ya bure nn?....angekufa,wanaume nanyi mbadilike k za mafungu zitawatokea puani, mzabzab hebu njoo uwape somo madogo
Sr.Nafuatilia comments zako kwa ukaribu mno.Naona bado Sakrament haijakaa sawasawa.Huyo jamaa inaelekea ana undugu na yule kamanda aliyefariki.
Ila hili tunda la adamu na hawa ni la hatari sana!!! Yaani linawafanya watu kuwa zuzu, wanagwaya, wanauana, wanafanyiana kila hujuma ambayo unaifahamu duniani!!! Ninikumbuka kifo cha Vonesta Nkya na kijana wa pilot wetu basi ukitaka kujua madhara ya mapenzi kwa mlio Marekani basi achana nayo kabisa!!! Kama demu au jamaa hakutaki achana naye tu mbona wanaume/wanawake wapo tu!!! Hata pata wa muda wakati una search for a longterm commitment!!
Umeona eeeeh watu wanageuka mazuzu chezea tunda la mti wa kati weye!! Ile khabari nyingine ati
Ila kwa kweli Ciello, lile ni tamu mnoo sijapata ona!! Kweli na UKIMWI huu umekamata pabaya, alijisemea mzee wetu kuwa .....kamata mahali ambapo sote twapenda!!! Ile kitu inapanda utosini ati unasahau kama uko duniani au ahera!!! Sasa ukute wenye mautundu yao khaaaaa!!!
Hahahahah mi simo watu wana majonzi lol bishosti lara 1 hebu njoo utoe ushauri na saa huku
Alifata k ya bure nn?....angekufa,wanaume nanyi mbadilike k za mafungu zitawatokea puani, mzabzab hebu njoo uwape somo madogo