Mwizi anusurika kufa mabibo hostel

Kashindi

JF-Expert Member
Oct 28, 2011
349
250
mwizi huyo aliyekamatwa mida ya saa moja na nusu ya jioni hii akiwa block katika harakati za kuiba PC za wanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam waishio katika hostel hii, mwizi huyo alipo ulizwa kama ni mwanafunzi alishindwa kujitetea na kusema kuwa kaacha kitambulisho chake getini kitu ambacho kiliwapandisha jazba wanafunzi hao kwa sababu utaratibu huo haupo hapa mabibo. Baada ya hapo alianza kushushiwa kipigo cha mbwa mwitu mpaka pale ambapo polisi walipoingilia kati.
Binafsi niliwapongeza sana na kufurahishwa na kitendo kile kwani ni jana tu usiku baada ya umeme kukatika tu na sisi tukiwa cafeteria tukipata chakula cha jioni tuliibiwa PC nne moja ambayo ni yangu ya 650000 Dell, HP ya 600000 na toshiba 2 zenye thamani ya 520000@
my take wizi ni kitu kibaya sana kwani kinarudisha maendeleo nyuma.
 
Huko polisi wanaenda kumuachia tu,mngemaliza kesi hiyo wenyewe,ataludi tena huyo akiwa na nguvu na kasi mpya kuwaliza.
 
Nikiwa hapo Mabibo hostel enzi za masomo yangu »» tulikurupushwa toka usingizini majira ya saa 12 kasoro na kelele za mwizi huyo ; kutoka tu nje nilimkuta wanammalizia na muda si mrefu maisha yake yakaishia pale
Huyo ana bahati sana.
 
Huyo atakuwa alikuwa anamlia mingo demu wake jumba bovu limemwangukia.
 
That was so bad.
mwizi huyo aliyekamatwa mida ya saa moja na nusu ya jioni hii akiwa block katika harakati za kuiba PC za wanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam waishio katika hostel hii, mwizi huyo alipo ulizwa kama ni mwanafunzi alishindwa kujitetea na kusema kuwa kaacha kitambulisho chake getini kitu ambacho kiliwapandisha jazba wanafunzi hao kwa sababu utaratibu huo haupo hapa mabibo. Baada ya hapo alianza kushushiwa kipigo cha mbwa mwitu mpaka pale ambapo polisi walipoingilia kati.
Binafsi niliwapongeza sana na kufurahishwa na kitendo kile kwani ni jana tu usiku baada ya umeme kukatika tu na sisi tukiwa cafeteria tukipata chakula cha jioni tuliibiwa PC nne moja ambayo ni yangu ya 650000 Dell, HP ya 600000 na toshiba 2 zenye thamani ya 520000@
my take wizi ni kitu kibaya sana kwani kinarudisha maendeleo nyuma.
 
mwizi huyo aliyekamatwa mida ya saa moja na nusu ya jioni hii akiwa block katika harakati za kuiba PC za wanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam waishio katika hostel hii, mwizi huyo alipo ulizwa kama ni mwanafunzi alishindwa kujitetea na kusema kuwa kaacha kitambulisho chake getini kitu ambacho kiliwapandisha jazba wanafunzi hao kwa sababu utaratibu huo haupo hapa mabibo. Baada ya hapo alianza kushushiwa kipigo cha mbwa mwitu mpaka pale ambapo polisi walipoingilia kati.
Binafsi niliwapongeza sana na kufurahishwa na kitendo kile kwani ni jana tu usiku baada ya umeme kukatika tu na sisi tukiwa cafeteria tukipata chakula cha jioni tuliibiwa PC nne moja ambayo ni yangu ya 650000 Dell, HP ya 600000 na toshiba 2 zenye thamani ya 520000@
my take wizi ni kitu kibaya sana kwani kinarudisha maendeleo nyuma.


Namshukuru Mungu japo nimewashawishi wanafunzi wakachelewa kumwachia, baadae nimefanikiwa kuwasiliana na polisi ili waje waokoe jahazi la kupoteza uhai wa Mtu kwa kitu cha thamani ndogo. kama mtanzania wa kawaida na mwanafunzi wa mabibo ambaye hana boom, kwa sasa na hana nguo, anaamua kuiba kwa ajili ya kuangalia kama atabana sh. elfu tano imalize siku tano. Kwanini tusiiulize serikali kabla ya kuua? kwa nini tusiruhusu sheria ikafanya kazi? kama nilivyoshuhudia, haukuwepo ushahidi wowote, ila tu saikolojia ya watu kuwa kaiba, ndiyo iliyopandikiza watu jazba na kuwafanya waamue kumpa kichapo!

Theree Never!
1. Never take the position of God by taking away the life of someone just because of small profit!
2. Never judge a person unheard
3. Never Judge your own case!
msituletee laana ya kuua raia wenzetu kwa makosa madogo! Acha sheria ifanye kazi.
Mzimu wa Opresheni tokomeza usitufuate!!!
 
mwizi huyo aliyekamatwa mida ya saa moja na nusu ya jioni hii akiwa block katika harakati za kuiba PC za wanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam waishio katika hostel hii, mwizi huyo alipo ulizwa kama ni mwanafunzi alishindwa kujitetea na kusema kuwa kaacha kitambulisho chake getini kitu ambacho kiliwapandisha jazba wanafunzi hao kwa sababu utaratibu huo haupo hapa mabibo. Baada ya hapo alianza kushushiwa kipigo cha mbwa mwitu mpaka pale ambapo polisi walipoingilia kati.
Binafsi niliwapongeza sana na kufurahishwa na kitendo kile kwani ni jana tu usiku baada ya umeme kukatika tu na sisi tukiwa cafeteria tukipata chakula cha jioni tuliibiwa PC nne moja ambayo ni yangu ya 650000 Dell, HP ya 600000 na toshiba 2 zenye thamani ya 520000@
my take wizi ni kitu kibaya sana kwani kinarudisha maendeleo nyuma.
Picha!!!?????
 
mwizi huyo aliyekamatwa mida ya saa moja na nusu ya jioni hii akiwa block katika harakati za kuiba PC za wanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam waishio katika hostel hii, mwizi huyo alipo ulizwa kama ni mwanafunzi alishindwa kujitetea na kusema kuwa kaacha kitambulisho chake getini kitu ambacho kiliwapandisha jazba wanafunzi hao kwa sababu utaratibu huo haupo hapa mabibo. Baada ya hapo alianza kushushiwa kipigo cha mbwa mwitu mpaka pale ambapo polisi walipoingilia kati.
Binafsi niliwapongeza sana na kufurahishwa na kitendo kile kwani ni jana tu usiku baada ya umeme kukatika tu na sisi tukiwa cafeteria tukipata chakula cha jioni tuliibiwa PC nne moja ambayo ni yangu ya 650000 Dell, HP ya 600000 na toshiba 2 zenye thamani ya 520000@
my take wizi ni kitu kibaya sana kwani kinarudisha maendeleo nyuma.
Nimeishi hapo Mabibo hostel, Block F kwa miaka 4, kumetokea incidents nyingi za wizi na watu kuuliwa!, kiukweli nothing justifies taking someones life kwa wizi wa kitu chochote, material thing!, iwe ni simu, laptop au pc, au kitu chochote cha thamani, kwasababu hakuna kitu chochote duniani chenye thamani zaidi ya uhai wa binadamu, yaani life!, ila wanafunzi wa hapo kutokana na mob psychology, wanageuka sio binadamu tena, ni ma wild beast!, kama vichaa kabisa!.

Wakati nikiwa mwanafunzi wa UDSM, nikiwa naishi Bock F hapo Mabibo Hostel, kuna mwanafunzi aliuliwa kwa kusingiziwa tuu mwizi na demu wake!, baada ya demu kutoa kilio cha mwizi!, watu walimshushia kipigo huyo kijana bila hata kuuliza kaiba nini?, by the time wale auxilary polisi wamefika eneo la tukio, wanafunzi walikuwa ni wengi wamemzingira huyo kijana na hawakumwacha mpaka walipohakikisha wameua!, huku wakishangilia kwa hamasa na furaha ya ushujaa wa kuua mwizi!.

Kesho yake baada ya kujulikana aliyeuwawa ni nani, na aliyepiga yowe la mwizi ni nani, ndipo room mate wa yule girlfriend wake akaumia kwa kitendo alichotendewa huyo mvulana wa watu!, akaleak data kuwa kijana yule, hakuwa mwizi, bali alikuwa ni boyfriend aliyepigwa tuu kibuti!, akaja kuomba msamaha, akafukuzwa kama mbwa!, jamaa akagoma kutoka room na kusema hatoki hadi msamaha wake ukubaliwe!, demu akamwambia, usipotoka nakuitia mwizi!, jamaa akagoma, demu akapiga yowe la mwizi na kilichomkuta ni kifo, by mob justice.

Incident nyingine kama hiyo ilitokea tena, nikajaribu kuwazuia watu wasiue kwanza, angalau tuulize nani kaibiwa na kaibiwa nini!, watu wenye uchu wa kuua wakataka kunigeukia mimi kwa kunipa kipigo eti ndio natetea wezi!, nikawakumbushia tukio la kifo cha yule kijana aliyesingiziwa mwizi, japo hawakutulia waliendelea kupiga ila at least nilifanikiwa to save his life japo alishapigika sana!. Kiukweli japo Mabibo Hostel ni jamii ya wasomi wa chuo kikuu, lakini kwenye mob psychology, wana loose all senses of reasoning na kuachana kabisa na utu, na badala yake kugeuka wananyama kabisa!, hawana tofauti yoyote na wale wahuni wa Manzese!.

Poleni kuibiwa, but its shame mwizi wa kuku kupigwa hadi kifo au kuchomwa moto huku watu wamehamasika na kushangilia kuitoa roho ya binadamu mwenzao kwa wizi wa kitu kidogo kama kuku!, huku mujizi ya rrasilimali zetu, kama yale mabilioni ya EPA, yakiachwa bila kufanywa chochote huku serikali yetu, ikiyaomba majizi hayo kurejesha kile ilichokwapua as if waliazima tuu ile mihela!.
Pasco.
 
Nimeishi hapo Mabibo hostel, Block F kwa miaka 4, kumetokea incidents nyingi za wizi na watu kuuliwa!, kiukweli nothing justifies taking someones life kwa wizi wa simu, laptop au pc, ila wanafunzi wa hapo kutokana na mob psychology, wanageuka kama vichaa!. Nikiwa hapo kuna mwanafunzi aliuliwa kwa kusingiziwa tuu mwizi na demu wake!, watu walimshushia kipigo bila hata kuuliza kaiba nini, by the time wale auxilary polisi wamefika, wanafunzi hawakumwacha mpaka walipohakikisha wameua!, kesho yake room mate wa girlfied wake ndio akaleak data kumbe masikini kijana wa watu, alipigwa tuu kibuti, akaja kuomba msamaha, akaitiwa mwizi!. Imcident nyingine kama hiyo ilitokea tena, nikajaribu kuwazui watu wasuia kwanza, angalau tuulize nani kaibiwa!, watu wenye uchu wa kuua wakataka kunigeukia mimi kuwa ndio nalinda wezi!, nikawakumbushia kifo cha yule kijana japo hawakutulia walipiga ila at least nilifanikiwa to save his life japo alishapigika sana!. Kiukweli wasomi hawa wa chuo kikuu hawana tofauti yoyote na wale wahuni wa Manzese!.
Poleni kuibiwa, but its shame mwizi wa kuku kupigwa hadi kifo huku mujizi ile ya EPA, ikisamehewa na kuomba kurejesha ilichokwapua as if waliazima tuu ile mihela!.
Pasco.

we nae sijui kama unajielewa.mwizi ni mwizi 2,haijalishi ni wa laptop,kuku au wa epa..na kwa kuwa serikali yako ya ccm imeshndwa kuwashughulikia hawa wezi,wacha sisi raia tujichukulie sheria mikononi ili kukomesha tabia hii.over
 
That was so bad.

hapana kaka si kumlia mingo demu wake jamaa kakutwa block E la wanaume na alipoulizwa eti unasoma nini akajibu civics una kaa wapi akajibu E 03 wakati hapa vyumba vinanza na 100
 
Namshukuru Mungu japo nimewashawishi wanafunzi wakachelewa kumwachia, baadae nimefanikiwa kuwasiliana na polisi ili waje waokoe jahazi la kupoteza uhai wa Mtu kwa kitu cha thamani ndogo. kama mtanzania wa kawaida na mwanafunzi wa mabibo ambaye hana boom, kwa sasa na hana nguo, anaamua kuiba kwa ajili ya kuangalia kama atabana sh. elfu tano imalize siku tano. Kwanini tusiiulize serikali kabla ya kuua? kwa nini tusiruhusu sheria ikafanya kazi? kama nilivyoshuhudia, haukuwepo ushahidi wowote, ila tu saikolojia ya watu kuwa kaiba, ndiyo iliyopandikiza watu jazba na kuwafanya waamue kumpa kichapo!

Theree Never!
1. Never take the position of God by taking away the life of someone just because of small profit!
2. Never judge a person unheard
3. Never Judge your own case!
msituletee laana ya kuua raia wenzetu kwa makosa madogo! Acha sheria ifanye kazi.
Mzimu wa Opresheni tokomeza usitufuate!!!

tena mi nilikuwa na hamu ya kupiga wazuiaji. Nani alikuambia kuwa kila siku sheria hufata mkondo wake? Serikali inahusika vipi kwa swala la mtu mwizi? Je kwanini usitumie pesa yako vizuri ili kuepusha matatizo?
Eti tuache Mungu ahukum kwanini mahakama ziwe na hukumu ya kifo.
Vitu vingine tunampa Mungu kazi kwani dhambi zingine si Mungu wala shetani hawazipendi bwana
next time uzuie tena ili ufe wewe kwa huruma zako.
 
Back
Top Bottom