Kashindi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 349
- 250
mwizi huyo aliyekamatwa mida ya saa moja na nusu ya jioni hii akiwa block katika harakati za kuiba PC za wanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam waishio katika hostel hii, mwizi huyo alipo ulizwa kama ni mwanafunzi alishindwa kujitetea na kusema kuwa kaacha kitambulisho chake getini kitu ambacho kiliwapandisha jazba wanafunzi hao kwa sababu utaratibu huo haupo hapa mabibo. Baada ya hapo alianza kushushiwa kipigo cha mbwa mwitu mpaka pale ambapo polisi walipoingilia kati.
Binafsi niliwapongeza sana na kufurahishwa na kitendo kile kwani ni jana tu usiku baada ya umeme kukatika tu na sisi tukiwa cafeteria tukipata chakula cha jioni tuliibiwa PC nne moja ambayo ni yangu ya 650000 Dell, HP ya 600000 na toshiba 2 zenye thamani ya 520000@
my take wizi ni kitu kibaya sana kwani kinarudisha maendeleo nyuma.
Binafsi niliwapongeza sana na kufurahishwa na kitendo kile kwani ni jana tu usiku baada ya umeme kukatika tu na sisi tukiwa cafeteria tukipata chakula cha jioni tuliibiwa PC nne moja ambayo ni yangu ya 650000 Dell, HP ya 600000 na toshiba 2 zenye thamani ya 520000@
my take wizi ni kitu kibaya sana kwani kinarudisha maendeleo nyuma.