excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,450
- 17,921
nna ndugu yangu huwa anavaa hips asee haya mambo yapo.
nipigie pande for further analysis.
nna ndugu yangu huwa anavaa hips asee haya mambo yapo.
Kama ukikaa huumii ya nini kuhangaika na makalio ya bandia? Mwanamke kujiamini.
Kila kitu feki....orgasm fake....
kaka shkamoo! lols!!!
si unajua jana nilinusurika life ban!!! hasira zote za picha nazishushia humu!!
lols --- --- unakuwa superstar kwa fake ID!
mkuu hilo suala lishakuwa la kawaida sana siku hizi...
hebu cheki mbinu zitumiwazo kutuhadaa!!
![]()
hapo kitu kimeshonewa moja kwa moja toka kiwandani... kama kavaa kisaidizi anaonekana hivyo, je akivua???
angalia hii reference kutoka china!!
![]()
life made easy!
ona mfano hai mwingine huu...
![]()
there is a lot behind!![]()
Ah wapi mimi hv hv...na ufidodido wangu na flat screen maisha yanaenda....kisa cha kujichosha.....ninyi wenyewe ndio mnataka hayo mambo..tena katika stage ambayo sio kabisa!lengo la marketing ni kutaka nini? km sio mteja na kuongeza mauzo pamoja na kutangaza bidhaa??ngoja niingie mtaani kusaka ushahidi zaidi na zaidi...
Ah wapi mimi hv hv...na ufidodido wangu na flat screen maisha yanaenda....kisa cha kujichosha.....
Nayauza dukani kwangu tena mpk matiti fake na yananunulika ile mbaya chezea mwanamke wewee
mpaka matiti feki??
hebu niambie, yanaweza kutoa maziwa??
ukiyanyonya yanabonyea ama yanakuwa
Yanaonekana hivi yanavaliwa kama bra
hili swali sijui nani atusaidie kujibu..
:A S 13:ingebidi life ban ikuhusu sababu yule jamaa aliyekua pemben ya mpiga msuli alipata matatizo na anakutafuta kwa sababu ulichukua pic yake ukaiweka jamii forum bila ridhaa yake
Na huwezi amini yananunuliwa balaa kwa wiki naweza uza pcs 50 kwa bei ya ukweli
Nataka kachori na pweza afu na ile supu yake....kishushio juice ya ukwaju...nakukaribisha dinner uswazi kwangu leo! dont worry about anything.. i am a humble african! agreements may be signed..!
hivi huko kujiamini huwa mnakuchuliaje?