Yaliyonikuta weekend hii-makalio feki- very serious

Yaliyonikuta weekend hii-makalio feki- very serious

  • Nguo zawaenea vyema kabisa
  • kuna cha ziada katika vichwa vyao, ambacho hupelekea kufanya hivyo

red---- marketing strategy!

wameona fursa, sasa wanaitumia, na wamepata wateja haswaa akiwemo mkuu wetu, WaliNazi! lols!

wanawake wana akili sana, sema wanashindwa kufanya proper allocation ya akili walizonazo-- wengi wao lakini- si wote!
 
Last edited by a moderator:
wana kazi sana hao wanawake wasiojikubal, na nyie wanaume acheni kuokoteza sana ipo siku mtakutana na mwanaume mwenzio ndo hapo utatia akili.
 
Mmi nna flat screen wala sina preshaaa wala sihangaiki nisharizikaaa
 
nna ndugu yangu huwa anavaa hips asee haya mambo yapo.
 
Kumbe zina wateja kweli duh, tunasema mtu ajiamini ila hata hao wanaovaa kusema ukweli wanajiamini.
Hivi mtu unaanzia wapi kuyavaa hayo, watu wanaokujua miaka nenda rudi, wanajua ni flat screen mara una hips na makalio ya ghafla.
Hahahahaa yanaota kama uyoga, pole zao.
 
Hahaa kwasababu hatuna mvuto ama....dah

ninyi wenyewe ndio mnataka hayo mambo..

tena katika stage ambayo sio kabisa!

lengo la marketing ni kutaka nini? km sio mteja na kuongeza mauzo pamoja na kutangaza bidhaa??

ngoja niingie mtaani kusaka ushahidi zaidi na zaidi...
 
Back
Top Bottom