Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,340
- 5,553
Argument nyingine inaonyeaha namna gani mwalimu wako alipata tabu na wewe darasani...Je, meli ina foundation?
..jiwe la msingi kwa kizungu wanaita " foundation stone."
Haelewi mjinga huyo maana ya jiwe la msingi anafikiria ni uzinduzi wa majengo ya tofali tu!!! Jiwe la msingi huzinduliwa popote penye any type ya engineering construction.Bwashee hiyo inaitwa uzinduzi wa ujenzi wa meli na ni jambo la kawaida sana huko duniani!
Poor you madhara ya shule za kayumba haya.Urgument hi inaonyesha weakness ya shule ulizosoma hasa za msingi..Raisi alipaswa kusuburi ujenzi wa meli ukamilike halafu yeye aizindue na kuipa jina.
Mkuu unashangaa nini?Tangu dunia iumbwe hii kitu imetokea Tanzania pekee. Leo Rais John Magufuli akiwa huko mkoani Mwanza ameweka jiwe la msingi na kuzindua utengenezaji wa meli hapa nchini.
Sijawahi kuona utengenezwaji wa meli kokote kule duniani ukiwekewa jiwe la msingi
Maswali ya kujiuliza, ilo jiwe la msingi litakuwa linazunguka na meli kokote iendako?
Je meli za wenzetu huko walioendelea meli zao zina mawe ya msingi?
Rais wa kuweka mawe ya msingi kila kitu ni mawe ya msingi tu hakika ni rekodi ya karne.
Pole Sana kwa uwezo mdogo wa akili ulionao hakikisha wanao wanasoma elimu ya kueleweka vinginevyo familia yako itakuwa kiwanda Cha kuzalisha kizazi Cha waking.Hiyo ilikuwa foundation stone ya kuzindundua construction .Neno construction sio ujenzi wa jengo la matofali tu Ujenzi wa satellite waweza zinduliwaKizzy Wizzy,
..ndugu zangu msiwe mnasifia tu kila kitu.
..kama ameweka JIWE LA MSINGI basi atakuwa amekosea.
..na makosa hayo kwa kiwango kikubwa ni ya WASAIDIZI wake.
..kosa la Raisi litakuwa ni kukubali kupotoshwa na kufanya jambo ambalo si sahihi.
Kama wote ni wenyeviti wa vyama vyao na mmoja amepewa dhamana kwa muda anashindwa kutambua uwepo wa mwingine basi kunashida kubwa sana mahali fulani. Siasa nimeamini zinawenyewe wengine hawaziwezi,yani kila event mtu lazima achemke mahali fulani inasikitisha mno
Pole sana mke mdogo wa FreemanKama wote ni wenyeviti wa vyama vyao na mmoja amepewa dhamana kwa muda anashindwa kutambua uwepo wa mwingine basi kunashida kubwa sana mahali fulani. Siasa nimeamini zinawenyewe wengine hawaziwezi,yani kila event mtu lazima achemke mahali fulani inasikitisha mno
Mpaka mkaweke kikao ndo mtaelewa ...Umekielewa ulichokiandika lakini? Au umekopi ujumbe wa mtu Fulani mahali ukaja kupaste hapa.
Umemaliza juandika au utaandika tena kujazia, maana hueleweki unamaanisha nni?
We endelea na nafasi yako mwanangu Mimi namcomfort Mama yako kwa sasa.Pole sana mke mdogo wa Freeman
Yeye ndio hana shukrani kabisa!! Kafika ikulu kaota mapembe!Binadamu tusivyokuwa na shukrani, akiishia kujifungia ikulu mtasema huyu rais gani anashinda ikulu tu!.
Mlitaka mumpelekeshe kama mlivyomfanyia JK, bahati nzuri kwa nchi yetu ni kwamba jamaa hayumbishwi siku zote anasimamia katika anachokiamini.Yeye ndio hana shukrani kabisa!! Kafika ikulu kaota mapembe!
Kama wote ni wenyeviti wa vyama vyao na mmoja amepewa dhamana kwa muda anashindwa kutambua uwepo wa mwingine basi kunashida kubwa sana mahali fulani. Siasa nimeamini zinawenyewe wengine hawaziwezi,yani kila event mtu lazima achemke mahali fulani inasikitisha mno
Anachokiamini ni uwendawazimu!!Mlitaka mumpelekeshe kama mlivyomfanyia JK, bahati nzuri kwa nchi yetu ni kwamba jamaa hayumbishwi siku zote anasimamia katika anachokiamini.