Taarifa kwenu mliozira zinawahusu nini?? Huu unafiki aliowaambukiza mbowe KAMWE hamtatusua.Point yake ni kuwa wananchi tunataka tupate taarifa sahihi, kama ni matango pori kuleni wenyewe Lumumba
Huwa wanambagua kwa kutaka ukweli utamalakiWakuu hivi Aman Karume yeye ana asili gani? yuko sawa na Maalimu Seif au Shein?
Hahahaa hiyo kibokoHuyu Masako hafai kabisa Waziri kasema kiembesamaki kuna vituo 12 na misululu ni mikubwa Masako anamuuliza ripota wake sasa ww tuambie ni kweli kuna misululu maana sisi kwenye pcha hatuoni misululu? Ripota anajibu ni kwel hakuna misululu dah nimecheka sana
Yaani CUF mizigo kweli sasa ndio nini,Picha yenyewe Uwanja wa Amani.Kijana wa kizanzibari anaetumiliwa na chama tawala kwamba ni mzungu kutoka ulaya amekuja kuangalia uchaguzi
NIMEFUTA COMMENTS ZANGU ZA MWANZO BAADA YA KUKUELEWA, SAMAHANI.
born again pagan.
Haujafuta
Vipi? Kaongea msichopenda nini? Mjifunze kukubali na msiyoyapenda.Huyu pasco huwa kama nyoka hajulikani yuko upande upi